Labda umwambie ni Hotel gani hio uliokunywa kahawa vikombe viwili 22500/-. Atakuelewa.Namshangaa Raimundo mkuu.. may be akiingia hotelin anakunywa juice...
Pale natron palace 2015 one cup nililipa 5800 kwa naura..kilimanjaro..Serena..east africa(wamebadili jina silikumbuki) ngurudoto sijui bei zake
Labda umwambie ni Hotel gani hio uliokunywa kahawa vikombe viwili 22500/-. Atakuelewa.
Usichukulie serious.....wengine tunataka tujue ili tusiaibike....tumezoea chai/kahawa 500/-.
Sikutaka kujibu sababu ya u ligi mzee. Na identity. Ila siku ukija ngorongoro au kama unafikaga ustue nipo muda wote hapa mamlaka idara ya maji nitakupeleka kwenye hiyo kahawa.Labda umwambie ni Hotel gani hio uliokunywa kahawa vikombe viwili 22500/-. Atakuelewa.
Ha ha ha, ngoja tusubiri tuone kama atajibu.
Sawa bwana ila hizo bei zenu mnazotaja sidhan kama ni ukwel yaan vikombe viwili 22500TshUsichukulie serious.....wengine tunataka tujue ili tusiaibike....tumezoea chai/kahawa 500/-.
Sikutaka kujibu sababu ya u ligi mzee. Na identity. Ila siku ukija ngorongoro au kama unafikaga ustue nipo muda wote hapa mamlaka idara ya maji nitakupeleka kwenye hiyo kahawa.
Ila hujakosea mimi nikiingia hizo hotels huwa sinywi kahawa.....hata buffet breakfast/brunch huwa situmii kahawa maybe chai.Hahaha...ujue mwenyew nacheka pia. Ok wewe Mondray bei yako ya mwisho kunywa kahawa ni shingapi toka ukue
Mbavu zangu mieSitasahau for rest of my life ,nikiwa std 1 Mwananyamala Primary tulikuwa tunagombania namba bila kutegemea kifungo cha Pensi kikakatika na kwa kamwili kautoto pensi ikashuka chini nzima nzima watoto wakashangilia! Ikawa end of the day nikatimua home sikurudi mpaka zilipopita 5 days!
Sh mia mtaaani, home napendelea kununua pakti la kahawa then najitengenezea mwenyeweHahaha...ujue mwenyew nacheka pia. Ok wewe Mondray bei yako ya mwisho kunywa kahawa ni shingapi toka ukue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...mkuu niruhusu nije pm nikuulize kitu.Mimi bwana niliumbuka huko Schippol Amsterdam. Mara ya kwanza kuingia nchi za watu nilikuwa sijawahi kutumia esclators zaidi ya kuziona kwenye movies. Sasa nimeingia Schippol airport nakutana na escalators nikazikwepa nikatumia ngazi! Kufika mbele mambo ya kubadili terminal kuna sehemu inabidi nitembee nafikiri about 100m hamna namna kuna moving walkay tu inabidi uzitumie.
Sasa kwenye ndege nilikutana na dogo mmoja kashaenda sana huko kazoea tukawa tunaongozana, dogo akapita humo kama mchezo, mtu mzima nikairukia! Aisee bado kidogo nipige mwereka nikawahi kushikilia railings! Yule dogo alicheka hadi akakaa chini! Akanielekeza jinsi ya kutumia 'kila kitu kina mara ya kwanza'.
Hivi bado kahawa ile inayotembezwa sh 100?!Sh mia mtaaani, home napendelea kununua pakti la kahawa then najitengenezea mwenyewe
Karibu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...mkuu niruhusu nije pm nikuulize kitu.
Mwenyewe nilijichanganya siku hiyo tu mkuu...hadi na leo nikiingia nakuwa makini saana.Sh mia mtaaani, home napendelea kununua pakti la kahawa then najitengenezea mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Me siku ya Harusi yangu kwenye utambulisho nikakosea kumtambulisha msimamiz wangu nikamuita matron naniwakiumee mpaka leoo CD ya ndoa cjuii nimeitupiliaga wap
Hahaaaaaaa pole brother daah tatizo mnapenda kwenda kwenye mahotel makubwaMwenyewe nilijichanganya siku hiyo tu mkuu...hadi na leo nikiingia nakuwa makini saana.
Kule hupewi na vile viglass unapewa chupa ya maji ya moto + kikombe sukari na kahawa unajipimia Vikombe vyako. Sasa sikujua ukibakiza hayo maji kuna bei yake . Na pia ukimaliza kuna bei yake. Mimi nikabugia kachupa kote ha ha ha ha ha
Huwezi kunishinda saundi niliyowapiga walimu ofisi nzima wakakubaliana na mmKipindi niko o level nlikuwa mtukutu sana,alafu ilikuwa boarding zile za sheria kali,basi waliletwa samaki skonga wamejaa katenki kadogo kale saizi ya mwisho kwaajili ya waalimu na wenye shule walikuwa na kongamano,basi wahuni wakaiona fursa,wakantafuta msuka mipango,tukaona haiwezekani waalimu wale vinono ilhali sie wanafunzi ni mwendo wa nguna na wali arage deile kama wafungwa.Tulivyokuwa vichwa ngumu badala ya kuchukua kidogo tukajaza samaki ndoo kubwa ile nzima tena misamaki ya haja,kimbembe kikawa kwenye logistics sasa,long story short tulikuja kukamatwa red handed tukiwa tunawaoka wale samaki,hapo tushakunywa sana michemsho ya samaki,alafu alie tukamata ndo mwenye shule sasa,mnoko kama nini,outcome ilikuwa eitha tukatangazwe mstarini mbele ya mademu au tule sanspaa,au adhabu zote kwa pamoja.nlimpiga jamaa saundi sijawahi kumpiga mtu tokea nijue kuongea,mpaka jamaa akatusamehe.