Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Another day, ilikuwa siku ya kwanza kukwea pipa from Dsm to Doha-Qatar na Qatar Airways... Nimekaa zangu mda nikabanwa na haja (big call) nikafikiria nimuite mhudumu anioneshe toilet zilipo?? nikaona utakuwa ushamba wa kiwango cha lami... nikainuka huyo to the cockpit... nikakuta kimlango kiko labeled 'occupied' nikageuka nyuma nikakuta 'unocupied' mzee nikazama. Sababu nilikuwa nimebanwa mda mrefu fasta nika unload mzigo.. kimbembe sasa [emoji23][emoji23] kucheki sioni sehem ya kuflahia, no kikamba cha kuvuta no button bas mzee nikabaki nimeduwaa tuu.. kuchek pembeni kunasehem imewekwa kilabel cha duara ile kugusa tuu kitu hicho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikavuta pumzi (kumbe mi mjanja)... Sasa imebaki kazi moja 'kujiswafi' na nikicheki hamna 'horse' ya maji ya kutawadhia [emoji33][emoji33] asee nilifungua kale kamlango nikabaki namwangalia tuu yule hostess sielewi nianzie wapi.. nikajifungia nikaloesha tissue paper nikamaliza kazi ile natoka yule mdada anacheka tuu kwakweli kile kinjia kuja kuikuta seat niliona kama kilometa hivi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Eti vichipsi vyako ndio unitongoze!!
 
Mimi sitosahau kipindi nabarehe, ilikuwa darasa la saba kitambo sana enzi hizo nikiwa na miaka 16 nilimtongoza mtoto wa kiarabu hapo class maana walikuwa wengi sana class, akanikataa kisha akawaambia wenzake ikawa kila nikimsogelea ananikimbia huku wenzake wakinicheka. Nilitoroka shule sikurudi hadi jtatu maana ilikuwa ijumaa, na home nilishindwa kula chakula kwa jinsi kibuti kilivyoniingia
 
Bila shaka ilikua bujonde huko
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] etata etata ukonywile mbavu zangu....ishawahi kunikuta hyo ngamanga moja duuh mi nilibisha hadi issue ikaenda kwa mwalimu
 
Unatakiwa uwe na chupa tupu ya maji kwenye begi unaenda nayo,wenzetu wanachambia karatasi badala ya maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…