Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 749
- 1,310
Unazo taarifa mnatakiwa kuripoti kituo cha kati cha polisi?siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
[emoji23][emoji23]Nakumbuka enzi hizo kwenye somo la kiingereza ticha aliniita mbele nikaongee na mwanafunzi mwenzangu
Ah basi nikajivuta vuta nikaenda...basi jamaa akaanza gud mrng mi hata sijui nijibu Vp nikasema "thank you" basi darasa zima lilianza kucheka halafu ndiyo niko mbele dah ilikuwa bonge la noma.
ha haaa haaaaa nimecheka hadi machozi yananitoka.....lolNilidanganya nasoma kozi flank udsm ,ilikua mkuranga huko nikashangaa kaibuka broo mmoja kaanza kuni tight Mara lecturer huyu na yule unawajua nikisema nawajua ananiuliza wanafundisha mini Aisee nilikwama na kudhalilika sana
Hahahahaha....ukome nafikiri umeshanunua yako mkuumim nakumbuka kpndi hicho ndo ile Tv za kuhesabika mtaan, tukawa kwa jiran tumekusanyika usiku hiv watu wa kila rika, baba mweny nyumba akadai volume kubwa ipunguzwe bas ile kuangalia remote hii hapa ubavun kwang mzee akanipoint ``ww hebu punguza remote hyo hapo kwako" mixer kuna watoto wa kike wazur wa mweny nyumba nkaishika ile remote nkabofya ktufe ilimradi hee kumbe nimezama kweny setting watu waka-shout aaaah wengne wakasonya maana jns ya kurud sasa kutoa kipengele cha setting mtihan nmebak ak naikodolea remote, mtoto wa mweny nyumba akaichukua faster kaweka sawa mambo
chin chin naskia minong'ono kama hujui si useme tu sijui... bas ilbd iwe mwanzo na mwsho kwnda kuangalia tena Tv kwa baba flan.
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenyewe nilijichanganya siku hiyo tu mkuu...hadi na leo nikiingia nakuwa makini saana.
Kule hupewi na vile viglass unapewa chupa ya maji ya moto + kikombe sukari na kahawa unajipimia Vikombe vyako. Sasa sikujua ukibakiza hayo maji kuna bei yake . Na pia ukimaliza kuna bei yake. Mimi nikabugia kachupa kote ha ha ha ha ha
[emoji23] [emoji23]Me siku ya Harusi yangu kwenye utambulisho nikakosea kumtambulisha msimamiz wangu nikamuita matron naniwakiumee mpaka leoo CD ya ndoa cjuii nimeitupiliaga wap
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe mtu loooAnother day, ilikuwa siku ya kwanza kukwea pipa from Dsm to Doha-Qatar na Qatar Airways... Nimekaa zangu mda nikabanwa na haja (big call) nikafikiria nimuite mhudumu anioneshe toilet zilipo?? nikaona utakuwa ushamba wa kiwango cha lami... nikainuka huyo to the cockpit... nikakuta kimlango kiko labeled 'occupied' nikageuka nyuma nikakuta 'unocupied' mzee nikazama. Sababu nilikuwa nimebanwa mda mrefu fasta nika unload mzigo.. kimbembe sasa [emoji23][emoji23] kucheki sioni sehem ya kuflahia, no kikamba cha kuvuta no button bas mzee nikabaki nimeduwaa tuu.. kuchek pembeni kunasehem imewekwa kilabel cha duara ile kugusa tuu kitu hicho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikavuta pumzi (kumbe mi mjanja)... Sasa imebaki kazi moja 'kujiswafi' na nikicheki hamna 'horse' ya maji ya kutawadhia [emoji33][emoji33] asee nilifungua kale kamlango nikabaki namwangalia tuu yule hostess sielewi nianzie wapi.. nikajifungia nikaloesha tissue paper nikamaliza kazi ile natoka yule mdada anacheka tuu kwakweli kile kinjia kuja kuikuta seat niliona kama kilometa hivi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaahaahhahajaamim nakumbuka kpndi hicho ndo ile Tv za kuhesabika mtaan, tukawa kwa jiran tumekusanyika usiku hiv watu wa kila rika, baba mweny nyumba akadai volume kubwa ipunguzwe bas ile kuangalia remote hii hapa ubavun kwang mzee akanipoint ``ww hebu punguza remote hyo hapo kwako" mixer kuna watoto wa kike wazur wa mweny nyumba nkaishika ile remote nkabofya ktufe ilimradi hee kumbe nimezama kweny setting watu waka-shout aaaah wengne wakasonya maana jns ya kurud sasa kutoa kipengele cha setting mtihan nmebak ak naikodolea remote, mtoto wa mweny nyumba akaichukua faster kaweka sawa mambo
chin chin naskia minong'ono kama hujui si useme tu sijui... bas ilbd iwe mwanzo na mwsho kwnda kuangalia tena Tv kwa baba flan.
bina we we mbona huweki nicheke!!Hahaahaahhahajaa
Hahaha ngoja nikumbuke khaaa. Usimulie yako piabina we we mbona huweki nicheke!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yangu nilikosea hapa jf...ktk kutuma pichaHahaha ngoja nikumbuke khaaa. Usimulie yako pia
Khaaaa bina mbona sikuiona hiyo jamani lol[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yangu nilikosea hapa jf...ktk kutuma picha
nikakuta nimetuma yangu then mbaya zaidi ile picha sasa ht kwenye camera haieneii...
pua hiloo na nlitokwa na chunusi kipindi hcho weee...!!!
thanks to@Bonny akantumia msg whasap fastaa...maana aliiona ile picha
akaniuliza 'why u have put ur picture jf...!!'
nkamjibu'mimi?'
akasema 'ndiyo akaniambia nenda kwenye Uzi Fulani nimekuquote' nkaenda fastaa...
weee ile picha sasaa...front page nakuambia ukifungua umeiona nilivurugwaaaa...
maana daahh!acha tu!nkamtumia msg invisible hakujibu
nashukuru kuna sehemu nkaclick kwenye simu ikafutika
nikapoa sasa roho...
sasa@Bonny alinichekaaa...vbaya mnooo...
Ila for sure alinisaidia Sanaa tu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15]sisahau bina...!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hukuiona alinishtua fastaa...!!Khaaaa bina mbona sikuiona hiyo jamani lol
Me nilijibu pm ya mtu kwenye comment mweee
Umshukuru Bonny haha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hukuiona alinishtua fastaa...!!
yaani sina hamuu!!!
sana my best friend wa ukweeeUmshukuru Bonny haha
Weweee yani niliipost kama comment tu ya thread. Uzi hata hauhusianisana my best friend wa ukweee
pole kwa kumrudushia mtu ujumbe wake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji15] loooohhh!!!Weweee yani niliiandika kama comment tu ya thread. Uzi hata hauhusiani
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Khaaaa bina mbona sikuiona hiyo jamani lol
Me nilijibu pm ya mtu kwenye comment mweee