Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Nakumbuka nilialikwa mahali kwenye sherehe.. Mda wa msosi ukawadia, self service maana watu tulikua wachache..
Kupita kwenye bufe nikaona kitu kama rojo ila naona wengine wanachota kidogo, kufika nikajaza full... Kuja mezani kuanza kula, khaa kumbe ni pilipili na nimeijaza karibu sahani nzima..
Siku hiyo niliaibika hatari sana..
 
Kati ya thread zooote nilizowahi kusoma hapa jamii forums, this is the best!!! [emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] kwa mleta uzi!!
 
hahahaha na viongozii wa chakula mnakuwaga wanoko balaaaa....
 
Usiombe kuokota mi demu ambayo haina aibu...ilinitokea nipo na mlupo tunaburudika na mashujaa band ilikua kino..kumbe kawabonyeza ma shost zake ahhahaa aisee akaja wa kwanza nikaona hii show naicheza na wanabugia beer si ki sport..cjakaa sawa kaja mwingine na anavyokuja kana kwamba alikua hajui kama mwenzie yupo humo kumbe wana code no zao..nikaona isiwe tabu nikalipa bill kwanza nikajifanya nimepigiwa sim ya emergency nikaamsha
 

Bila shaka hapo ulikuwa natamani soda ya mgeni. Heeeheheeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usichukulie serious.....wengine tunataka tujue ili tusiaibike....tumezoea chai/kahawa 500/-.
...Ni 100Tsh kahawa per cup and Tea ni 200Tsh per cup

NB: Tafadhali usiniulize ni wapi!
 
daaaaah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yan nimejarib kuvuta had pich jins ulivyokuwa umekodoa macho[emoji102] nimechek sana uliondoka au ulibak kuangalia
 
Nakumbuka zamani rafiki yake kaka yangu alikuwa na demu wake walikuwa wanasoma chuo kimoja. Jamaa alikuwa anampenda saana.

sasa kuna siku huyo demu alikuwa anasafiri jamaa akaamua amsindikize. Kapakata yale mabegi ya kichina yanayoitwa omaga. Kukaribia stand basi linataka kuondoka ikabidi waonze vimbio kidogo[emoji23][emoji23]. Ili Kupata balance huyo jamaa akaliweka begi kichwani. Ile kuikaribia ngorika begi likachanika zip vitu vyote chini puuuuu.

Kilichofuata vichupi vipendi vimswaki vitait vyote na vipedo vikatapakaaa chini jamaa kabaki na libegi la demu wake kichwaniiii [emoji23][emoji23][emoji23]. Jamaaa aliaibika dirishani abiria demu ikabidi akimbilie vichupi kwanza kuvikusanyaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
daaaaah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yan nimejarib kuvuta had pich jins ulivyokuwa umekodoa macho[emoji102] nimechek sana uliondoka au ulibak kuangalia
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
sitasahau primary nilikatokea kademu kakiarabu sasa nilipanga kukagegeda saa nane mda wa kurusiwa ilipofika saa nane kakaja darasani kwetu machali wakapata habari wakaja wote tulikua kumi demu mmoja mwarabu tulimgegeda kesho akaja na mama yake shuleni demu analia tulivunja bikra mama yake analalamika demu akanitaja na mimi nikawataja wenzangu tulikula bakora za kutosha
 
Niko darasa la pili, miaka hiyo ya 90. Ni muda wa mapumziko, tupo na mpira wa chandimu, tunacheza mbele ya darasa na wenzangu!!

Nimebanwa ushuzi, nikaona isiwe tabu kwenda nje, nikajisemea kimoyomoyo, ngoja niwakomoe ntajamba kwa nguvu na kwa sauti !!

Shetani akawa upande wangu!! SIKUJAMBA.

Nilikunya mbele ya darasa, kilichosaidia nilikuwa na pensi ndani, nikakimbia toilet nikasaula pensi nikatupa ndani ya choo kilichojengwa kwa msaada wa HESAWA.

sorry! it was surposed to be a secret!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…