Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Wewe labda mgeni humu
 
[emoji1] [emoji1] mtakuja kujikuta mnafungua milango ya emergency door sikunyingine
 
Ah ah ah ah jmn nimevuta picha nikapasuka kucheka pole aisee
 
Khaa, jamani,mweee ah ah ah pole dearest na ww min ulikuwa unapenda za kuchanua.
 
Hahahah na tuskirt twangu twa kuzungusha, sijui nilikuwa naficha wembamba. Alikuwa yule kichaa Mwanaisha, niliaibika khaa
Aah kwan mwanaisha alikuwa na tabia ya kufukuza watu?
Na sijui kafa cz sijamsikia au kwavile hatupo huko ndio maana.
Pole mwaego. Nipo nasoma comment za watu nacheka uhiii watu ns vimbwenga vyao
 
Chuo presentation mbele ya lecture wangu Dk Clement Mashamba (kabla ya kuteuliwa kua Wakili Wa Serekali)... Picha linaanza suruali imechanika makalioni halafu sina taarifa, mwenzangu tupo nae kwenye stage tunataka kupresent akaiona, kosa alivonishtua, material zote kichwani zilipotea kwa mshtuko, sikujua nianzie wapi na nimalizie wapi, hapo kijasho, presha, mwili kutetemeka e.t.c.................. Kilichofata naomba nisimalizie, maana nikikumbuka roho bado inanishtuka sana!!!!
 
Aah kwan mwanaisha alikuwa na tabia ya kufukuza watu?
Na sijui kafa cz sijamsikia au kwavile hatupo huko ndio maana.
Pole mwaego. Nipo nasoma comment za watu nacheka uhiii watu ns vimbwenga vyao
Sijasikia hata kama yupo au laah. Huu Uzi ni utacheka hadi basi, ukimaliza huu nishtue nikupe link nyingine uchekeeeee
 
Hahahaa , afadhari wewe Mimi nilishawahi kujinyea darasan halafu nilikua nakaa bench moja na mtoto wa kike, nakumbuka ilikua ni standard 3

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii usiombe, pindi nipo darasa la kwanza, half time tumepewa uji na mwalimu, tukaugonga darasa zima, mimi ukanikata tumbo kweli, ila baada ya kumaliza mwalimu akatupa ruhusa ya kwenda kujisaidia kama kawaida yake, kufika chooni watoto wamejaa kila kona, mi tumbo lika beep ya kwanza, nikipiga jicho bado kuna nyomi halafu hawaondoki, wala hawapungui, lika beep mara ya pili, jasho likaanza kunishuka huku machozi yakinilenga

Miscall ya tatu sikuisikia, nakuja kutahayari nimesha chafua miguu yote mpaka kwenye viatu

Mwalimu ikabidi aniogeshe, nguo na viatu havifai, ikabidi anivalishe kanga lubega (kama shuka za kimasai wanavofunga) peku peku mpaka home, mdogo mdogo huku wanafunzi wakiniimbia "kajinyea eh eh kajinyea eh eh kajinyea".... Nililia kilio sio cha nchi hii, hatari[emoji31]
 
Hahahahaha....
 
Ah ah ah ah ah pole aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…