Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora wewe hivyo, mwalimu wetu alikuwa anatuonyesha namna ya kuchuchumaa ili tuumie zaidi suruali yake ikachanika vibaya sana hadi boxer inaonekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Dah! Nimecheka hadi machozi lol! Pole sana Mkuu, ulidhani nini hadi kuamua kukimbia Mkuu!? Hahahahaha lol!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

 
ahaaa same story happened to me.
 
Nipo form five hii ishu ndiyo ikanitokea.

Siku hiyo kwenye begi langu la nguo nikakuta chvpi ya kike, inaonekana iko muda mrefu tu, akili yangu ikajua hii ni ya mpenzi.
Nikampigia nikamwambia kuna chvpi yako kwenye begi langu akajibu hapana mi sijwahi kuacha chvpi huko. Nikang'ang'aniza akasema basi nitakuja kuiona kama yangu niichukue.

Baada ya kufikiria kwa muda nikakumbuka ile chvpi ni ya ex wangu, siwezi kuipoteza katika mazingira ya kutatanisha lazima nitaulizwa.

Nikaenda Kariakoo nikanunua chvpi dazeni nikarudi nazo mjengoni ile nyingine nikaitupa juu ya bati, bi dada kafika baada ya muda anauliza hiyo chvpi iko wapi, namtolea dazeni huku najiongelesha "Surpriseeee" akapagawa kwa furaha pale ile ishu niliizima hivyo.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Aiseee kweli shuhuli waliipata
 
Ngoja nicheke Kwanza kabla cjasema YA kwangu


Kipindi hicho Nilikuwa form pale makongo.
Nilikuwa naumwa mafua ambayo yanaelekea kupona wakati huo ukipiga chafya basi yanatoka makamasi mazito, tukiwa darasani tukifundishwa physics na Afande mataula basi nikapiga chafya YA ghafla baada YA kumaliza hiyo chafya USO Mzima ulijaa kamasi zile nzito Halafu mfukoni hata kitambaa sina, Yaani darasa zima wakawa waniangalia mm kucheka wanataka Lkn wanamuogopa teacher basi nilitoka nduki hadi bombani kunawa Kisha nikaelekea kantini kununua kitambaa nikasuburi mapumziko nikamuomba rafiki yangu aniletee begi langu nikasepa zangu hom sikuenda shule Wiki nzima kwa aibu.
 
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1]
 
Haa haa haa haa haaa
Aiseeee mkuuu planett
Umeuwa watu kwa kucheka
Leo

Unakimbizana na wajeda
Huko nadn hujui n wap uningia wala utatokea wap

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ha ha ha haa. Duh. Vitimbi kweli.
Kaka aulieagiza chai pole. Na Dada ulieharibikiwa vifungo pole sana...sasa Dada ukajisaidiaje?
Halafu usiombe uwe hukuwa hata na kanga au mtandio
Mkuu aibuu sikia kwa jiran
 
hahahahahahahaa
 
hahahahahahaha
 
Wewe ni sheeda nimelia bila kupenda.
 
Una akili kinoma maana ungeamka ingebidi upresent.
 
Niliwahi kwenda na rafiki yangu kwa ndugu zake ilikuwa Area c Dodoma sasa kumbe rafiki yangu alikuwa amebanwa tukapiga hodi tukakaribishwa wenyeji tukawakuta sebuleni.Rafiki yangu alisalimia na haraka haraka akaendelelea na safari ya kwenda chooni mie nami nikachanganya supu namfuata mwenyeji akauliza na wewe unakwenda wapi? mwenzio anaenda chooni! nilipata aibu ya mwaka nikakoma kufuatafuata watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…