miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,150
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamni niko hoi.Sijawahi na siombia inikute,
Teacher wetu wa history O level aliacha kazi baada ya kujamba darasani mbele ya kadamnasi.....alitimua mbio sijawahi ona binadamu anakimbia kama yule.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] noma sana kumbe umetoa kimesikika hadi mtaa Wa pili hukooUnahisi hujambi, sauti unaona unaisikia wewe tu.
Safiii, jiachieni bana kwa raha zenuu[emoji1]Mi na mke wangu huatunajamba tuu
Nimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
Unajikuta upo sehemu mathalani sebuleni halafu ukahisi kujamba, ukiachia ushuzi wa kueleweka kwa kubinua kalio moja. Mara ghafla anatokea mtu anakuja sebuleni kukaa ikiwa ndio harufu ya ushuzi inaenea taratibu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapo utatamani upepee haraka ili harufu iishe
Niliwahi jamba katika bus earphones zikiwa masikioni, nilijamba sana,kuja shtuka too late ,mostly of the people walikua wananikodolea macho..
Jamaa alitoka nduki si kitoto.....mimi ikabidi niearuhusu kwani nao walikuwa hoi kwa kicheko,
Baada ya ya kujamba jamaa alishtuka kisha akasema; "Haaaaa! nimejamba?" akatimua mbio.
We acha tu nilikuwa naungama kwa paroko , aliponipa sala ya toba niliachia kishindo cha ajabu chenye harufu ya yai lililooza , akaniambia nenda kwa amani !
Wakati tupo msingi kuna majamaa walikuwa wanashindana kutoa mashuzi huku sisi wapambe tukishangilia,
punde si punde jemba moja wapo likaachia shuzi lile la Prapatatataaah!
Mchizi pale pale akawa keshajinyea tepe tepe....Nilikula stick plus kumuita mzazi juu (mimi kama mdhamini wa pambano).
Hili tako bomba sana!Uyu manzi alinijambia hapa akiwa kalala hapo kwa mitego ananisubiri nimpe dozi.View attachment 1213045
Mimi nipo busy nasikiliza nobody can stop reggae, [emoji16][emoji16][emoji1] [emoji1] [emoji1] noma sana kumbe umetoa kimesikika hadi mtaa Wa pili hukoo
Amelala kimitego, unakula mwanafunzi niniUyu manzi alinijambia hapa akiwa kalala hapo kwa mitego ananisubiri nimpe dozi.View attachment 1213045
Nimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
ungemjambia na weweUyu manzi alinijambia hapa akiwa kalala hapo kwa mitego ananisubiri nimpe dozi.View attachment 1213045