Yaani acha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu noma sana
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mambo ya earphones hayo, ulihisi hiyo sauti unaiskia mwenyewe eeh[emoji23] [emoji23]Niliwahi jamba katika bus earphones zikiwa masikioni, nilijamba sana,kuja shtuka too late ,mostly of the people walikua wananikodolea macho..
Kunduni alikuwa anasikia vibration tu bila sauti kwa sababu ya phone basi mwenyewe alikuwa anajiona mjanja kama vile ujambaji ndio umeupdetiwa kwake kwamba unaweza kuchagua kujamba vibration au sauti?Inamaana ulihis earphone umechomeka kunduni badala ya sikioni au[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hahhaha wadada wembamba wakijamba bora unywe air fresh maana kijambo chao kikiingia tumboni ndiyo unasikia baada ya miaka miwili una vidonda vya tumbo, mara saratani ya shingo ya kizazi, mara apendex.
Mkuu mkuu nipo kwenye sherehe ya watu ya ndoa lakini unanichekesha kinyamaIlibidi paroko atoke kidogo kwenye kale kajumba ka maungamo asubiri hali ya hewa ibadilike . Sio kosa langu kwani nilikumbuka moto wa milele kwa wenye dhambi ndio kishindo kikaingia
Tena, unaskia tumbo limepata ahueni,jepesiii, ila sasa hicho kiharufu kitakavochukua mda kuisha mmmh[emoji3]Alafu wakati wa kijambo unajikuta umejiachia kabisa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] noma sanaNimewahi kwenye interview kitu written nimekaa na watoto wazuri kitu kikabana nikataka nikiachie taratibu wee kikatoa sauti bana dah nilisikia aibu sana, wakaniangalia nikajifanya bize naandaa peni. Uzuri hakikutoa harufu.
Hahhaha wadada wembamba wakijamba bora unywe air fresh maana kijambo chao kikiingia tumboni ndiyo unasikia baada ya miaka miwili una vidonda vya tumbo, mara saratani ya shingo ya kizazi, mara apendex.
uso unabaki hucheki hulii,,,unakua hapo katikati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwii kama nakuona vile ulipoambiwa umejamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko pembeni watakuwa walicheka balaaNimewahi kwenye interview kitu written nimekaa na watoto wazuri kitu kikabana nikataka nikiachie taratibu wee kikatoa sauti bana dah nilisikia aibu sana, wakaniangalia nikajifanya bize naandaa peni. Uzuri hakikutoa harufu.
Ahsante sanaRafiki pole!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikalale mieKunduni alikuwa anasikia vibration tu bila sauti kwa sababu ya phone basi mwenyewe alikuwa anajiona mjanja kama vile ujambaji ndio umeupdetiwa kwake kwamba unaweza kuchagua kujamba vibration au sauti?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
ππππππPole sana nimesahau kukupa pole ni ajali
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliwahi jamba katika bus earphones zikiwa masikioni, nilijamba sana,kuja shtuka too late ,mostly of the people walikua wananikodolea macho..