Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

zamani kombe ashikrimu tu au bagia zengu amaizing then pambano linafanyika,
nilikuwa naitwa Don King
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] , mbavu zanguu, naimagine hyo sauti ya kijambo ulivoiandika hapoo , mdhamini uliweka dau kubwa kwenye hilo pambano nini,maana si Kwa kujilazimisha huko hao wapambanajii mpk kupuu[emoji3] [emoji3]
 
Nilikua home sas sikuona kama mzazi yupo maana nikiwekaga mpira huwa wanaondoka nikaachia mzigo wa sauti, nikasikia mtu anaguna huku anasema jehova jehova! naona mtu anashusha miwani yake kidogo akaniambia kwa raha zako baba eeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alikuwa mama au baba huyo.
Nilikua home sas sikuona kama mzazi yupo maana nikiwekaga mpira huwa wanaondoka nikaachia mzigo wa sauti, nikasikia mtu anaguna huku anasema jehova jehova! naona mtu anashusha miwani yake kidogo akaniambia kwa raha zako baba eeh
 
Back
Top Bottom