Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Umeanza vizuri ila umeharibu kwenye majani majani🤣🤣🤣Kwa upande wa wadada nasikia ni ma 'blaka biuty'
Pia eti inasemekana wanapenda sana kuvaa nguo za rangi majani majani.
Wadau walifika mbali zaidi na kudai wanavaa zile rangi ku represent the green city.
Sorry kwa kuchelewa kujibu oni lako hili, sio mzoefu kwenye masuala ya mapenzi ila mkuu, life is full of surprise hasa kwenye mapenzi. Unayempenda hakupendi anayekupenda humpendi.. Wanasema kwamba ukipenda mtu mshikilie asiondoke but mkuu kabla ya kufanya hivyo jiulize mtu huyo unayeFight for does she/he worth your effort??? Pambana pale unapoona unapendwa ila kumetokea migogoro tu fulani. Sio mtu hakutaki na hakupendi wewe unazidi eti unapambania penzi.Vp hii "fight for what you love"
Kwa upande wa wadada nasikia ni ma 'blaka biuty'
Pia eti inasemekana wanapenda sana kuvaa nguo za rangi majani majani.
Wadau walifika mbali zaidi na kudai wanavaa zile rangi ku represent the green city.
Kwa ninavyoona watu wenye asili ya Mbeye hua na roho nzuru, Nadhani kuwepo kwa dini kwa kiasi kikubwa kumechangia wawe hivo.Umeanza vizuri ila umeharibu kwenye majani majani🤣🤣🤣
Kikubwa mkuu kama mtu akikuacha wewe usinungunike ndio maisha nothing last forever, Na kama akikupenda na ukaona kabisa ana mapenzi kwako kamwe usimuache. Shida tunaitumia nguvu nyingi kutambua hisia za mtu na kupata penzi la mtu anayekupenda.. Just let things flow naturally.
Unayemuacha ndio mpenzi wako wa Maisha yako, unayemuona hana thamani kwako utamjutia kwenye maisha yako
Hii post yako nimeileta huku ili uzi ulioComment ufutike. I want it to fade away.Ubaya ni kwamba mwandishi yuko single.
Mimi nahisi mwandishi anashida na yeye hajajua kinachomsumbua ndo maana anapata stress.
Ebu muone mwanasaikolojia.
Mimi niko njiani kumuona maana watz wengi tuu-vichaa
Haha Hahahah mpaka kielewekeMaisha hayana kanuni, ukimpenda mtu wako pambana hadi umpate, hata asipojibu msg pambana. Mwanaume "kupambania kombe" eti. Usikubali kushindwa juu ya kitu unachokitaka kirahisi.
Sio kwenye mahusiano tuu, hata kwenye maisha kiujumla. Pambana , usiseme tuu kama riziki ni yangu ni yangu tuu na itakuja. Utasubiri riziki ijilete hadi mwisho wa dunia.
Huu mtihani wachache wanafaulu wengi hufeli I don't know whyMpende akupendae asie kupenda achana nae....over!
Unamkuta mtu alishadate na wanaume zaidi ya Watatu akaumizwa leo wewe unajaribu kumu enfluence akupende unatumia nguvu kubwa kufanya hivyo kumbe alishajenga picha kichwani mwake kwamba wanaume ni wale walewale!tatzo n kwmba kumjua anayekupenda kwa dhat n changamoto, weeng wamesalitiwa kias kwamba wamejawa na vsasi na malipiza na kuhis kila mtu n msaliti.
mnaingia kwny mahusiano kama vtani, kila mtu anajihami [emoji25]. Wanaopata tabu n wasio na hatia wny mioyo safi , nao baada ya kipnd fulani wanaharibika mnoo na kuwa makatili.
Happy New Year bro.. may you have a blessed and successful year....Jinsi ninavyosubiri salamu za Heri ya mwaka mpya kabla sijalala[emoji20]
View attachment 2064368View attachment 2064369View attachment 2064370View attachment 2064372View attachment 2064373View attachment 2064374