Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Dah!!! Umenikumbusha mbali sana Da'Vinci...ila ulichoongea ni ukweli mtupu. Na siku zote huwa anayethaminiwa hawezi kuona thamani ya mtu anayemthamini ata kdg bali yeye atathamini sehemu ambayo hathaminiwi kabisa. Huwa nina msemo kuwa ukitaka kupendwa ujipende ww kwanza ndy Utapendwa.

Maisha yako yasitegemee uwepo wa mtu fulani , wala furaha yako isitegemee uwepo wa mtu fulani. Ukijipenda mwnyw kwanza ndipo na mtu mwingine atakupenda pia. Inaumiza pale unapomthamini mtu alafu yeye hakuthamini na wala haoni ule mchango wako. Inauma sana.
 
...ningependa kuchangia kitu apa.

Unajua siku zote ili uheshimiwe na watu wa rika tofauti lazima nawe ujiheshimu kwamaana usipo jheshimu sahau kuheshimiwa...ilo wote twalifahamu

Sasa apply hii ktk mapenzi...ili upendwe lazima kwanza ujipende ww mwenyewe..
Usijitese ili upendwe bali jipende na ujithamini ili upendwe na uthaminiwe.

Ayo tu maneno machache yenye uzito.
Ni kweli kabisa unachosema, ata mimi huwa napenda sn maneno haya ili upendwe kwanza Jipende ww mwnyw lkn ukimtanguliza kumpenda mwenzio kwanza ww mwnyw hujijali aisee utateseka sana.
 
Ukiishi kwa kuitambua thamani yako na ukaipa nafasi Yake itawale maishani...ama hakika hakuna mtu ambaye anaweza kumusumbua maishani.....kanuni kubwa ya kwanza ya mahusiano ya kupasa ujipende wewe kwanza ..kisha uwapende na kuwahurumia wale wote wanaokupenda.....endapo mtu unayempenda atageuka kuwa haonyeshi kufungamana na wewe katika upendo basi rejea katika kanuni ya kwanza ambayo nikujipenda mwenyewe......ukijipenda mwenyewe na kujipa thamani hauto thubutu kumkaribisha mtu yeyote yule akubaribie maisha yako iwe kwakucheza na hisia zako ama maisha yako kwaujumla
Ni kweli kabisa unachokiongea. Jipende mwnyw kwanza.
 
Daah umeandika point moja kubwa mno hadi nimejikuta nimetafakari kitu
Mzee wangu ni Mwanajeshi mstaafu hataki kusikia hizo ratiba.
lakini mimi naona bora niwe huko sioni faida ya kukaa uraiani ambako si enjoy maisha kama wengine bora niwe kazini24 hrs
upendo wa kweli unauona kabisa kwamba hapa napendwa... naonaga tu upendo wa kifafa ambao si hesabu kama upendo, sasahivi hata huo upendo wa kifafa siuoni[emoji22]...
Kweli huwezi kukimbia Destiny yako, haijalishi unaenda wapi inakufata kama mkia inakuondolea kila kisicho chako haijalishi unakihitaji kiasi gani....!! Mwisho wa siku happiness is the key of life

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi mpenda mtu akanitema asubuh kiukweli Maumivu nilipata nilisema Asnte Yesu. Leo ananishangaa na atazidi nishangaa alifikiri nitapotea bila ya yeye. Ila kumbe yupo Mungu wa miujiza bila kukanyaga mafuta wala maji ya upako.
 
Daah umeandika point moja kubwa mno hadi nimejikuta nimetafakari kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Inagarimu muda mrefu sana kufahamu hilo.
Pale siku umekaa chini unajiuliza kwanini vitu/watu fulani navipenda vina disappear hata nikijaribu kuving'ang'ania napoteza vitu vingi kila wakati naanza moja pale pale kwenye upweke,ndio unagundua kuwa ;
no matter how hard i try, Every turn I take, every trail I track,Every path I make, every road leads back
To the place I know, where I can not go, where I long to be ( by moana)

utagundua wewe ni mtu mpweke usipoyakubali maisha yako furaha yako ikajitengeneza ndani yako, ukaishi kwa kujitegemea. utaishi maisha mapweke mara100 zaidi ya upweke ulionao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inagarimu muda mrefu sana kufahamu hilo.
Pale siku umekaa chini unajiuliza kwanini vitu/watu fulani navipenda vina disappear hata nikijaribu kuving'ang'ania napoteza vitu vingi kila wakati naanza moja pale pale kwenye upweke,ndio unagundua kuwa ;
no matter how hard i try, Every turn I take, every trail I track,Every path I make, every road leads back
To the place I know, where I can not go, where I long to be ( by moana)

utagundua wewe ni mtu mpweke usipoyakubali maisha yako furaha yako ikajitengeneza ndani yako, ukaishi kwa kujitegemea. utaishi maisha mapweke mara100 zaidi ya upweke ulionao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Peoples you love will change you..things you have learned will guid you.
(Mona)
 
Back
Top Bottom