Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

Mara nyingi hadi unamwambia una mke lakini anakukomalia
 
Ilinitokea sana kipindi nina umri kati ya miaka 16-20.
Hapa katikati sijui nini kilinitokea[emoji28]
Ulikuwa mtoto wa kishua unavimbia hela za mshua sasa umekuwa maskini[emoji28][emoji38]
 
Miye sura ya Babu mfukoni patupu unafikiri atanitongoza nani
Daaah mbona hii kali asee mi kuna uncle wangu ni tax driver sio tajiri sio masikini ila anavyotongozwa na wanawake mmmmh assee

Sijui ni nguvu za Mungu au nn maana jamaa kaokoka kweli

Na sio handsome wala nn ana 47 hapo najiulizaga sana ila wote anawakataliaga tu 🤔🤔😒
 
Uncle yako inaonekana Ana nyota ya kupendwq na wanawake.
 

Nilikubali kabla hata hajafungua mdogo, tukajikuta tunaZagamuana tu.....ila nilikuja mpiga chini baada yakuona ananibana na ratiba zangu
 
Ana nyota ya ukimwi
 
Hiyo kauli Ni nzuri Sana,wadada wangekuwa wanatumia hiyo kauli kuwakatalia wanaume ingekuwa poa Sana afu ungekuwa ustaarab mzuri Sana.
 
Oy lete visa mkuuu 💩 vipi
Visa no vingiii sana siunaona kama huyu natakiwa nimle JPL.



Ana Mshapeee balaa, mtako Si mtakooo, sura Si suraaaa .


Sasa unajua nilimpataje?.

Hahaha kimasihara sanaaaa , alimleta Mama yake Hosp kapigwa na DKA ameshapoteza Faham ( nilikua EMD ) , baada ya juhudi mama kutoa tumaini, na kuhamishiwa Wodini , yule Demu akawa ananiuliza... vipi Mama atakua sawa ? Mama vile?.


Si ndo nikamtania ' atakua sawa tu na akishakua sawa itabidi nawee unipee hiyo nyama maana looooh Kwa jinsi ulivyojaaa 🤣)


Likachela chekaaaa tuu hapoooo.

Ndo Sasa JPL nakula ,usiku kucha🤣🤣
 
Igwe. Mr 🍑 daaah asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…