Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

Mi sana aiseh hasa nikiwa shule na chuo pale campus!

"Eti .... kwanini usinioe jamani""!!

Wengine wananitoa out za kiaina hata siwaelewi!mara Eti we handsome msafii halafu upo faculty of science Bas! wengine ma ushauri kibao Hadi usiku Sana eti discussion za reports za practicals!Bahati mbaya sikua muhuni just a focus guy one diretional!

Najuta sana Bora ningechakata tu sema niliogopa watoto wa Mama Salma wale wanaotumia vidonge vya vvu!jamaa yangu alikua Waziri wa afya aiseh chuo KILIKUA kimechafuka sana na uoga wangu nikasema nooooo!

Bado ipo hata humu jf SEMA Hadi uwe na third eye ndio utajua nani anatongoza Nani!!

Kuna baadhi ya nyuzi zinawaita watu FULANI sema tunajifanya kama hatuelewi vile halafu wahusika Wana change IDs Ili kuua soooh!

But I love them all!!
 
Haya maisha kuna muda tu unajikuta ushamoenda kaka wa watu na unaona kusubiri akutongeze utasubiri sana huenda hana wazo hilo.

Unaweza kuonesha ishara ila ndio kama hakudomi hivi unaona kwani sh ngapi nikijivika mabomu mazima. Unamfata unampiga mistari kuwa umemuelewa.

Je, ushawahi tongozwa na mwanamke na ulichukuliaje?

Ulikubali au ulikataa?
NISHAWAHI TONGOZWA DIRECTLY MARA 4
1. Nilipokuwa Primary
Alikua mtoto mmoja wa kichaga, white mmoja safiii
Alimtuma dada yake aje anitongoze nakumbuka nilitoka tuition akanisimamisha (huyo dada yake) akanipiga swaga nikawa naona aibu, nilikataa lakini japo aliniahidi angenipa chochote ninachotaka. Alilia sana shule akaiona chungu

2. Wakati niko sekondari
Kuna mtoto mmoja wa primary tuliishi mtaa mmoja, nilikuwa maarufu mtaani na mimi ndio nilikuwa wa kishua. usiku ktk misele misele akaniita kwemye kigiza giza yule mtoto… akaanza kufunguka ya moyoni. Mtoto aliongea kwa uchungu sana kuhusu hisia zake

Nilimtazama nikamuona mdogo, nikaenda kuongea na mama yake kuhusu tabia ya mwanae, mama yake akamsema tukayaacha
Miaka imepita ana watoto wawili sasa hivi

3. First Year, wakati wa usajili kumbe kuna bidada alivutiwa na mimi
Sasa wakati tunahangaika hangaika kuna mdada mwingine nilibadilishana mawasiliano nae alimtiming akamuomba no zangu (alikuja nambia baadae)

Basi alinicheki tukachaat akanizoea, tukaanza kukutana sana, caring zikawa nyingi kwa upande wake lkn hakusema kitu… nami nikajizima data kama sielewi. Tulienda hivyo mpaka siku moja alivunja ukimya akaeleza hisia zake

Wakati anafunguka nikawa namtazama nawaza nitavyomkunja, alivyomaliza nikamuuliza ratiba yake jioni hiyo akasema iko free

Basi ilipofika usiku nilimpa location, mtoto akaja, nikamla usiku kucha

From there mimi nikawa mpenzi wake, yeye akawa FWB wangu!

4. Chuo- kuna mdada niliomba anielekeze kitu fulani… basi akaanza caring nae
Mara “umekula?” “Utakuja chuo leo!?” Na vitu kama hivyo

Nikajifanya sielewe, mpaka siku moja akafunguka kwenye msg… next day nikataka onana nae nikamuuliza kama yuko serious, akasema “im serious “

Nikamtazamaaa, alivyo mpole na heshima zake, nikawaZa nitakavyoyaminya minya matako yale manene, namna nitavyonyonya lips zile tamu… nikaona sitamtendea haki

Nikamwambia “Mimi hutaniweza”
Akauliza “kwanini?”
Nikamwambia “mimi ni malaya sana sana sana, nina madem wengi wewe ukiongezeka utapata tabu tu”
Akasema “wangapi?”
(Nilishtuka yeye kuuliza)
Nikamwambia “ni wengi wengine siwajui”
Akanambia “hiyo ni tabia tu nitakusaidia kuiacha ubaki na mmoja tu” (alikuwa mtu wa dini)
Nikamwambia “sipo tayari kuiacha hata kidogo”

Alilalamika sana siku ile mpaka machozi yalimlenga, nikaona asikose vyote… nikamchapa french kiss walau afarijike… kaka smile kidogo, nikamwacha!

From there sikujibu text wala simu!

Huyu nilimkataa sababu nilimuonea huruma sana!
Popote pale ulipo J, ishi sana!!

Wengine kama alivyosema Carlos The Jackal wanaonesha ishara mimi namaliza ni kama wanaanguka kwenye box hivi namalizia, mwingine alimtuma shost yake anambie eti amenicrush!
Nilimla usiku huohuo niliopewa hiyo taarifa.

Oh Kuna mwingine hapa namuona anakuja kuja…!

Women, I LOVE YOU WITH MY LIFE!
 
Mlishawahi gombaniwa na Wanawake ??.

Primary nmegombaniwa sababu ya Akili za Darasan.

Secondary nimegombaniwa sababu ya Akili Darasan, Usafi, Mpira ,Uchoraji na Vijisent vya Mzeee

UV nmegombaniwaaa Kwa sababu ya Usafi na Vijisenti


Hata hivo Mimi ni HB , Mweusi tiiiii, macho ya kichina alafu mekundu kweliii utazan navuta bangi

Huku sahizi mtaani ndo kabisaaa wanajigonga tuuuu


Mbaya zaidi toka Nimeoa, ndo Sasa wanafurika kama mafurik9. !!.
 
Mlishawahi gombaniwa na Wanawake ??.

Primary nmegombaniwa

Secondary nimegombaniwa.

UV nmegombaniwaaa .


Huku sahizi mtaani ndo kabisaaa !!.
Lete visa kmmke we jamaa una nyota ya kutomba na kuwa daktari daaah PCB moja hiyo 🤣🤣🤣🤣
 
NISHAWAHI TONGOZWA DIRECTLY MARA 4
1. Nilipokuwa Primary
Alikua mtoto mmoja wa kichaga, white mmoja safiii
Alimtuma dada yake aje anitongoze nakumbuka nilitoka tuition akanisimamisha (huyo dada yake) akanipiga swaga nikawa naona aibu, nilikataa lakini japo aliniahidi angenipa chochote ninachotaka. Alilia sana shule akaiona chungu

2. Wakati niko sekondari
Kuna mtoto mmoja wa primary tuliishi mtaa mmoja, nilikuwa maarufu mtaani na mimi ndio nilikuwa wa kishua. usiku ktk misele misele akaniita kwemye kigiza giza yule mtoto… akaanza kufunguka ya moyoni. Mtoto aliongea kwa uchungu sana kuhusu hisia zake

Nilimtazama nikamuona mdogo, nikaenda kuongea na mama yake kuhusu tabia ya mwanae, mama yake akamsema tukayaacha
Miaka imepita ana watoto wawili sasa hivi

3. First Year, wakati wa usajili kumbe kuna bidada alivutiwa na mimi
Sasa wakati tunahangaika hangaika kuna mdada mwingine nilibadilishana mawasiliano nae alimtiming akamuomba no zangu (alikuja nambia baadae)

Basi alinicheki tukachaat akanizoea, tukaanza kukutana sana, caring zikawa nyingi kwa upande wake lkn hakusema kitu… nami nikajizima data kama sielewi. Tulienda hivyo mpaka siku moja alivunja ukimya akaeleza hisia zake

Wakati anafunguka nikawa namtazama nawaza nitavyomkunja, alivyomaliza nikamuuliza ratiba yake jioni hiyo akasema iko free

Basi ilipofika usiku nilimpa location, mtoto akaja, nikamla usiku kucha

From there mimi nikawa mpenzi wake, yeye akawa FWB wangu!

4. Chuo- kuna mdada niliomba anielekeze kitu fulani… basi akaanza caring nae
Mara “umekula?” “Utakuja chuo leo!?” Na vitu kama hivyo

Nikajifanya sielewe, mpaka siku moja akafunguka kwenye msg… next day nikataka onana nae nikamuuliza kama yuko serious, akasema “im serious “

Nikamtazamaaa, alivyo mpole na heshima zake, nikawaZa nitakavyoyaminya minya matako yale manene, namna nitavyonyonya lips zile tamu… nikaona sitamtendea haki

Nikamwambia “Mimi hutaniweza”
Akauliza “kwanini?”
Nikamwambia “mimi ni malaya sana sana sana, nina madem wengi wewe ukiongezeka utapata tabu tu”
Akasema “wangapi?”
(Nilishtuka yeye kuuliza)
Nikamwambia “ni wengi wengine siwajui”
Akanambia “hiyo ni tabia tu nitakusaidia kuiacha ubaki na mmoja tu” (alikuwa mtu wa dini)
Nikamwambia “sipo tayari kuiacha hata kidogo”

Alilalamika sana siku ile mpaka machozi yalimlenga, nikaona asikose vyote… nikamchapa french kiss walau afarijike… kaka smile kidogo, nikamwacha!

From there sikujibu text wala simu!

Huyu nilimkataa sababu nilimuonea huruma sana!
Popote pale ulipo J, ishi sana!!

Wengine kama alivyosema Carlos The Jackal wanaonesha ishara mimi namaliza ni kama wanaanguka kwenye box hivi namalizia, mwingine alimtuma shost yake anambie eti amenicrush!
Nilimla usiku huohuo niliopewa hiyo taarifa.

Oh Kuna mwingine hapa namuona anakuja kuja…!

Women, I LOVE YOU WITH MY LIFE!
Naamini uliwapelekea moto.
 
Daaah mbona hii kali asee mi kuna uncle wangu ni tax driver sio tajiri sio masikini ila anavyotongozwa na wanawake mmmmh assee

Sijui ni nguvu za Mungu au nn maana jamaa kaokoka kweli

Na sio handsome wala nn ana 47 hapo najiulizaga sana ila wote anawakataliaga tu 🤔🤔😒
Mkuu wanaume nguvu ya kuresist kwa muda mrefu hatunaaa
 
Sina pesa , sina mwonekano , sina elimu , caring sifuri, nina jeuri nani anitongoze mimi!
 
Kipindi hicho ndio nimemaliza chuo nilitongozwa na mwanamke mmoja mke wa mtu halafu alikua na pesa na Hadi Sasa anazo. Tatizo mwanamke mwenyewe Hana shape Wala sura. Mbele na nyuma Ni sawa kabisa, flat screen OG. Nikawa najiuliza kwa huyu hata Kama abdala Ni kichwa wazi lkn kwa huyu hatoweza kuinuka. Alinipa mpaka offer ya kwenda Zanzibar Kama Dar ninaogopa. Nashukuru Sana sikumkula.
tapatalk_-657316902.jpg
 
Back
Top Bottom