Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #101
Kitendo Cha kunifungia nisiingie kwangu maana yake umenipa Baraka zote nikalale Kwa mchepuko na nitaenda. Kwanza muda si nakuwa sijui kosa maana umejifungia.πyani angejutaaaa[emoji28], angeenda na kulala kwa hicho kimalaya chake, yani hata mtoto asingemgusa angeishia kumuangalia tu dirishani.. uwiiiiii nyumba ingegeuka gaza na israel[emoji23]
Kitendo Cha kunifungia nisiingie kwangu maana yake umenipa Baraka zote nikalale Kwa mchepuko na nitaenda. Kwanza muda si nakuwa sijui kosa maana umejifungia.πyani angejutaaaa[emoji28], angeenda na kulala kwa hicho kimalaya chake, yani hata mtoto asingemgusa angeishia kumuangalia tu dirishani.. uwiiiiii nyumba ingegeuka gaza na israel[emoji23]
Mkuu Huwa tukibanwa na USHAHIDI upo unasema tu lkn si yaishe mke wangu ππUshahidi uliopatikana kukataa ingezidi kuleta mtafaruku. Nilikubali, ila version yenyewe ilibidi anihurumie. Lakini sikutaka mambo yawe mengi
Kuna vitu unavyozidi kukataa unakuza mgogoro.
Yupo sahihi kabisa. Kuwa na ped geto sio USHAHIDI kuwa alikuwamo mwanamke humu huenda zimeletwa kichawi zitugombanishe mke wangu.Hongereni kuna mwenzenu huku amekutwa na karatasi za pedi ghetto na amekana kabisa hajui zimefikaje ndani kwake
Wote sio mbaya. Ila kumbuka ukipasua simu ipo siku utapasuliwa tumimi mwanaume wa ivo atakuta sim imepasuliwa na tofali anabisha nachoma nguo zake moto anabisha mafuta ya taa yanatuhusu wote
Halafu hii ni really sio igizo asee jamaa kapita shwaaaaaaahaWewe kama mimiπ€£π€£ imenifurahisha sana sana , yaani jamaa mkuku ππ½ββοΈ Wote nilijua anamkimbia kumbe Anaenda kujifanya sio yeye π€£π€£π€£ππ»ππ»
Anatakiwa aje alipize nikiwa na miaka50+ hapo ndo nitaumia kuachana nae uzeeni lkn Kwa sasa ni sawa ila asikamatikeNi kweli lakini na wewe jiandae kisaikolojia, hao viumbe ni mastermind sana.
Hapa ni duniani sio mbinguni kujutia kupo palepale.Unarudi kazini unakuta nimesoma msg zako halafu sinuni wala nini, na sikuulizi chohote. Utaanza kujiuliza mwenyewe...ina maana hajanuna?....au naye anafanya zinaa so anaona kawaida?....au ananidharau?....au atanitilia sumu...au hajali....au.....au....au. Ila ujue sehemu kubwa ya upendo imekwenda na maji. Iko siku utajutia juto kuu.
Kuna mwingine alifumwa na kasha la sabuni Ile Eva lipo mfukoni wife akamuulize Mme wangu hizi sabuni zinakaa kwenye loudge na gest wewe umeitoa wapi na ni kasha tu?Alikuta pakit ya kondom zipo mbili,akaniukiza Moja umetumia na Malaya wako .nikadilika nikamwambia umejuaje zipo tatu ? Kibano kikageukia kwake ilibid awe mpole
michepuko wangu huwa nampanga kwamba ikitokea siku wife kamgundua ahakikishe asimjibu lolote ata iweje ndio salama ya mimi na yeye kuendelea na hayo mahusiano..mimi na mke wangu tutajua tunamalizana vipiAnyway inawezekana unaona maisha yameendelea bila shida,but trust me kuna kauaminifu kwako kamepungua,ila ameamua tu msonge mbele inawezekana mmetoka mbali........siyo jambo jema sana jambo kama hilo,hasa mkeo kutukanwa na mchepuko wako....... wanaume hata kama unanyumba ndogo hakikisha mkeo haguswi kwa namna yoyote,unapanda mbegu mbaya sana,japo huwa tunawaona wanawake wajinga ila tunawakosea sana
michepuko wangu huwa nampanga kwamba ikitokea siku wife kamgundua ahakikishe asimjibu lolote ata iweje ndio salama ya mimi na yeye kuendelea na hayo mahusiano..mimi na mke wangu tutajua tunamalizana vipi
Unajua wewe ni jirani yangu Hapo Mbezi Ujue?Mnapata vilaza hiyo kutishia kuondoka wanafanya vilaza
Mnapata vilaza hiyo kutishia kuondoka wanafanya vilaza
Kuna watu wanakamatwa live kabisa. Kuna mkasa wa jamaa mmoja sitataja mkoa ila nilihusika sana kusuluhisha kile kisa. Jamaa kaenda club usiku kapiga pombe alafu kabeba mwanamke na kumfanya naye mapenzi kwenye gari. Kawasha gari hadi nyumbani, kaingia kalala, asubuhi anaamka choka mbya kwa pombe na lazima aende kibaruani, kama kawaida anampitisha mke wake kibaruani alafu yeye anaendelea.Lete kisa chako ama wewe ni aproko
Sikutaka kuvutana sana Kwa jambo lipo wazi. Mtu mwenyewe ana misimamo kama Kapeace , akili nyingii, hapo ukiendelea kumletea ujinga ujinga kitu atakachokufanyia utajutia maisha Yako yote. Kwanza haongei sana Wala maneno mengi.Mkuu Huwa tukibanwa na USHAHIDI upo unasema tu lkn si yaishe mke wangu ππ
Sawa mwisho nitaleta feedbackSikutaka kuvutana sana Kwa jambo lipo wazi. Mtu mwenyewe ana misimamo kama Kapeace , akili nyingii, hapo ukiendelea kumletea ujinga ujinga kitu atakachokufanyia utajutia maisha Yako yote. Kwanza haongei sana Wala maneno mengi.
Hata wewe usifikirie ulishinda hiyo kesi, ulituliza vurumai tu lakini mapambano yanaendelea. Hiyo ni endless battle!
Katimbwili nimekapenda ππUna ubabe mwingi sana, badilisha ID ujiite "Kaconflict" au "Katimbwili"
Kama wewe ni mwanaume kama pisi unaikubaki unaweza kana kama una mke ama Watoto ila ukiya imega tu basii Kila Rangi ataiona. Kipindi hicho mshahara wangu ulikuwa chini yaaniAmekaza kuomba msamaha kwa mke kunusuru penzi la ndoa ila ameomba msamaha kwa mchepuke kuinusuru pesa ya mafao π.
Kelsea njoo utoe neno.
Muhimu: Tuanche uzinzi.