Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Wewe jamaa story yako ni kama yangu nilikimbia 😂😂😂😂
 
Ila unanichekesha na kunikumbusha mbali😂😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuna madogo wengine nilikuta wamepewa peni wauze.

Wale wa viti ndio karibu daily nakutana nao, wamebeba viti kibao.

Wengine ndio ninyi wa mavyombo vyombo.
Hizi biashara za kuzunguka mitaani zina faida ila biashara iwe yako usiwafanyie hao wanyonyaji.
 
Nimecheka kwa hiyo ukawa unafanya tizi pale shoppers la kwenda mbele na kurudi nyuma wakati unamsubiri bosi!
 
Nilikutana na👇
 
Inaendelea..5
nmecheka hadi machozi yametoka 🙌🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…