Je, uliwahi kuwa maarufu shuleni?

UKOROFI..... nilikuwa napasua sana darasani lakini kwenye matukio ya hatari yote lazima unikute.... tukicheza mechi na skuli nyingine wakitufunga lazima nilianzishe na siku moja nilicheza rafu moja hatari sana nikamvunja jamaa mguu......

yaani huwa nakumbuka nacheka sana na kujiona nilikuwa mjinga//////
 
Mkuu darasa sio kipimo sahihi cha umri kuna wengine wanachelewa kuanza shule kwa sababu kadhaa kuna wengine pia wanawahi kuanza,, ila kama 2011 ulikua umemaliza chuo unaweza ukawa kikongwe sasa hivi [emoji23] ingawa kuwahi kumaliza hai guarantee kua umri wako ni mkubwa kuliko waliopo masomoni bado
Dahh ww bado kijana mdogo aise. Hivi kumbe nimekula chumvi ee mwaka 2011 nimeshamaliza chuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umaarufu niliupata Wakati nasoma O level nilikuwa mtoro mno..Nakumbuka kuna kipindi nilisimamishwa nisije shule mwezi mmoja nilivyo mjinga nikajiongezea na mwezi mmoja zaidi..Nilivyorudi shule walimu wakabaki wananiangalia tu hawana cha kunifanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endapo ndiyo. Ni kitu gani kilikupa umaarufu?
mimi nilisoma shule ya kata o level enzi za 2008 hadi 11 , halafu nilikuwa na english moja deep sana kwa watoto toka primary government halafu olevel shule ya kata, matokeo yake nikawa debate za shule, morning speech na mambo ya kuonekana yenye kuhusisha lugha ya shule nikawa sikoseoani, walimu wa kiingereza walihakikisha nakuwemo, hivyo nikawa na jina la kihivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena. Ila sijawa kikongwe ndo nazidi kuchanua
 
Ya form ngapi hayo matokeo ya 2002?, kumbe mi mtoto kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
. O level nilikuwa nacheza sana mpira ,lakin kutokana na life style sina mboyoyo nyingi sikuwa najua kama watu wananijua ...nililijua hilo baada ya kumaliza c'se ukikutana na mtu hata ambaye hukua na story nae shulen swali la kwanza ni bado unaendelea kucheza mpira.?. Kwa ujumla life style yangu ni ngumu sana kuwa maarufu ingawa mpira kwa kiwango flan unanitambulisha...na ni had mtu anione nacheza ndio atajua ni mchezaj mzuri otherwise huwez jua kwa sababu sijielezei kwa hyo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi mwenyewe nikikumbuka hua najicheka mpaka basi yani akili nilizokua nazo sasa yule mtoto kwa uzuri aliokua nao aiseh nahisi ningemtegua kiuno [emoji23][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha bahati haiji mara mbili,hali kama hiyo inatokea nakumbuka nilipo kuwa Seco Kuna jamaa alikuwa mashaalah wanafunzi wa kike kila mmoja anatamani awe nae karibu jamaa alikuwa ananiimbisha wala simuelewi, akaniandikia barua nikaipeleka Ofisini alichezea stiki.
 
Sijawahi fell kiakademiki.Sina akili nyingi ila ngazi zote nilivuka mpaka University.Naamini malengo ya elimu si kua na akili nyingi Bali ni kupiga msuli hatari na wamalengo na kuheat targeted areas.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjukuu wangu
Haha
unamfaham Mr Impossible nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongeza kidogo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…