blue bora angeimba pekeyake tu,Binafsi nmeona vitu vitatu Kwa la masimba dangote
1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako ...Jana kaja na Mr blue na jay melody.
2. Kaanza kufanya empowerment nje ya WCB Ili kubalance mziki wa bongo kama mnakumbuka ...hapa bongo graph ya mziki ilibend Kwa wasafi tu since record label zote zilikuwa Chali hivyo mziki wa bongo ulikuwa dominated na WCB
3. Ngoma ni Kali sana....wanyama wameua na ilisubiliwa Kwa hamu ....fulsa ya jay melody kuanza kuwika hapa east Africa kwasababu ukitoa wimbo na la masimba dangote Africa yote itakujua ... rather than ukitoa wimbo na kiba, vanboy na konde ...utaishia tu huko Ukerewe
View attachment 2883165
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kuna nn sala na maombezi auHamna wimbo hapo!
Sio hit hata kidogo huu wimbo ni wakaiwadaNisikilize mara ngapi? ngoma ya kawaida sio hit! Ujue ngoma inavyoanza tu unajua hiki chuma, bora wangekuja na idea mpya sio hiyo sampling!
Hivi kwanini mtu akiongea ukweli mnamuona kama hater..
Nyimbo mbaya mkuu kuliko Ukubwa wao beat melody mbaaayaa
Mimi sina Timu hawa wadogo zetu kina Diamond,Mr blue na Hata alikiba Wote wanaimba vizuri kama uliona nilichoandika kwenye Post ya Nyuma kabisa nimesema Kuwa uwezo wa Kuimba wa Wasanii hao umekuwa mkubwa kuliko Melody na beat waliochagua Kuliimbia..Siku hizi uzuri/ukubwa wa nyimbo unapimwa kwa jinsi utakavyo trend na namba zake kwenye platforms za music online
Kibaya zaidi sikuhizi tunatoa maoni yetu kulingana na utimu
Yaani there’s no way team Kiba au Chinga akasema wimbo Mondi ni mzuri au kinyume chake
[emoji23][emoji23]Beat ina fanana na wimbo wa Jux & Jay melody l need u
Yaah Mkuu....wabongo hata wakiwa na personal conflict na mtu basi hata kazi zao watazichukiaHivi kwanini mtu akiongea ukweli mnamuona kama hater..
Kwanini Taifa hili wengi wanaumwa..
Ugonjwa wa ALETHOPHOBIA unasambaa kwa kasi sana
Kabisa mkuu ngoma inazidi kimbizqSiku hizi uzuri/ukubwa wa nyimbo unapimwa kwa jinsi utakavyo trend na namba zake kwenye platforms za music online
Kibaya zaidi sikuhizi tunatoa maoni yetu kulingana na utimu
Yaani there’s no way team Kiba au Chinga akasema wimbo Mondi ni mzuri au kinyume chake