Je, umeionaje ngoma ya mapozi ya Diamond, Mr. Blue na Melody?

Je, umeionaje ngoma ya mapozi ya Diamond, Mr. Blue na Melody?

Binafsi nmeona vitu vitatu Kwa la masimba dangote

1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako ...Jana kaja na Mr blue na jay melody.

2. Kaanza kufanya empowerment nje ya WCB Ili kubalance mziki wa bongo kama mnakumbuka ...hapa bongo graph ya mziki ilibend Kwa wasafi tu since record label zote zilikuwa Chali hivyo mziki wa bongo ulikuwa dominated na WCB

3. Ngoma ni Kali sana....wanyama wameua na ilisubiliwa Kwa hamu ....fulsa ya jay melody kuanza kuwika hapa east Africa kwasababu ukitoa wimbo na la masimba dangote Africa yote itakujua ... rather than ukitoa wimbo na kiba, vanboy na konde ...utaishia tu huko Ukerewe

View attachment 2883165

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
blue bora angeimba pekeyake tu,
 
Nimependa kipande cha JayMelody na Blue tu.

Namkubali sana Diamond ila naona vionjo vyake havibadiliki

Hata Jay Melody vionjo vyake havibadiliki but kwa wimbo huu kampoteza Diamond.
 
Nyimbo mbaya mkuu kuliko Ukubwa wao beat melody mbaaayaa

Siku hizi uzuri/ukubwa wa nyimbo unapimwa kwa jinsi utakavyo trend na namba zake kwenye platforms za music online

Kibaya zaidi sikuhizi tunatoa maoni yetu kulingana na utimu
Yaani there’s no way team Kiba au Chinga akasema wimbo Mondi ni mzuri au kinyume chake
 
Siku hizi uzuri/ukubwa wa nyimbo unapimwa kwa jinsi utakavyo trend na namba zake kwenye platforms za music online

Kibaya zaidi sikuhizi tunatoa maoni yetu kulingana na utimu
Yaani there’s no way team Kiba au Chinga akasema wimbo Mondi ni mzuri au kinyume chake
Mimi sina Timu hawa wadogo zetu kina Diamond,Mr blue na Hata alikiba Wote wanaimba vizuri kama uliona nilichoandika kwenye Post ya Nyuma kabisa nimesema Kuwa uwezo wa Kuimba wa Wasanii hao umekuwa mkubwa kuliko Melody na beat waliochagua Kuliimbia..

Kwenye nyimbo zangu au playlist yangu Huwezi kukosa nyimbo tano au sita za Mond na hata Nyimbo za ally na nyimbo za Harmo pia..

So me napenda mziki mzuri sana Hata kama Miso misondo akiimba vizuri nitapenda tu na akiimba vibaya nitasema tu na hiyo ndiyo njia nzuri za kuwarekebisha wadogo zetu waendeleze Hili game vizuri
 
Siku hizi uzuri/ukubwa wa nyimbo unapimwa kwa jinsi utakavyo trend na namba zake kwenye platforms za music online

Kibaya zaidi sikuhizi tunatoa maoni yetu kulingana na utimu
Yaani there’s no way team Kiba au Chinga akasema wimbo Mondi ni mzuri au kinyume chake
Kabisa mkuu ngoma inazidi kimbizq

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom