Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Tukikutana out tunakimbiana π
Usiogope myTutoke wote kweli sasa,siyo mniandike afu sikuhiyo mnatoka na pisi zingine huku mkiimba Wimbo wa βsinglemom afie mbeleββΉοΈ
Woiii baba Nai ataniuwa sitaweza kwa kweliπTukitoka tunakaa huko mwezi mzima π π
Acha uwoga wewe, njoo ule mema ya dunia ππWoiii baba Nai ataniuwa sitaweza kwa kweliπ
upendo wa kunyanduana,Mchana tutakuwa kwenye majivu, usiku tutakuwa kwenye upendanao
sina huo ujinga wa urafiki wa pombe na ngonoOngea tu mkuu matajiri wote wako humu kuwezeshwa ni chap na walivyo hawana hiyana wankupa na wakutoka nae kabisa
Kumekucha KumekuchaHuwa sipendi pendi mambo yakutoka lakini for the first time, this Valentine, I will go out with my neighbor Lamomy. I think it will be a best valentine never seen before .π
π€£π€£π€£π€£
Oyooooooo!!! Kumekucha π€£π€£π€£π€£Don't be deceived by their avatar. They're hippopotamus in reality
ππππ Mmeanza
Ndio maana nimesema nilitamani b⦠that means ni kitu kisichowezekana kwa sasa.