Je, umewahi kuachana na mtu uliewahi kumpenda? Ilikuwaje?

Je, umewahi kuachana na mtu uliewahi kumpenda? Ilikuwaje?

vance12

Member
Joined
Mar 8, 2023
Posts
13
Reaction score
36
Kati ya vitu vigumu ambavyo vimekuwa vinawasumbua vijana wengi sikuhizi ni pale anapokuwa ana mapenzi na mtu ambaye kiukwel yeye anampenda kutokana na mazingira labda waliokutana au vitu walivyofanya pamoja lakni mwenzake anakuwa hampendi kabsa na kuna vitu baaadhi anakuwa anafanya ili tu mwanaume au mwanamke achoke na kuomba breakup.

Kawaida kwa mtu unaempenda huwa ni ngumu sana kumuacha aende kwani unahisi anapoenda kuna vitu mwenzako atavipata kama kwako au zaidi. Naomba tubadilishane mawazo kidogo.

reasons-to-break-up-instead-of-taking-a-break-1605852996.jpg

Je, ulishawahi kuachana na mtu umpendae. Je, ilikuwaje?
 
Next month natimiza miaka 10 tangu niachane na bint mmoja wa Kirangi Arusha pale.

Mpaka Leo nakubali kuwa sijawahi mpenda mtoto wa kike Kama nilivyompenda Yule bint wa Mbauda Jr.

Nikimkumbuka naishia kukubali kuwa sikuwa na lakufunya zaidi ya kuachana nae
 
Back
Top Bottom