Je, umewahi kuachana na mtu uliewahi kumpenda? Ilikuwaje?

Je, umewahi kuachana na mtu uliewahi kumpenda? Ilikuwaje?

Ilikuwa long high school alinicrush sema nilimpotezeaga πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜” ilimuuma sana maana rafiki zangu walisema kanipendea nilivyo sio πŸ’° wala nn daa udomo zege ni shida wakuuu πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’.

😊😊😊😊
 
Ilikuwa long high school alinicrush sema nilimpotezeaga πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜” ilimuuma sana maana rafiki zangu walisema kanipendea nilivyo sio πŸ’° wala nn daa udomo zege ni shida wakuuu πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’.

😊😊😊😊
Poleee,ila saivi si ushakuwa mzoefu?au bado Domo zege πŸ˜†
 
Poleee,ila saivi si ushakuwa mzoefu?au bado Domo zege πŸ˜†
Mungu anirehemu tu asee ni aibu sana.

Hii kitu dawa yake ni πŸ’° tu asee sina jinsi ila kumsimamisha demu mtaani siwezi asee πŸ˜”πŸ˜” πŸ˜•

Sema tumetofautiana ila πŸ’° na appearence + personality zitanibeba 😯😯

😎😎😎😎😎
 
Kati ya vitu vigumu ambavyo vimekuwa vinawasumbua vijana wengi sikuhizi ni pale anapokuwa ana mapenzi na mtu ambaye kiukwel yeye anampenda kutokana na mazingira labda waliokutana au vitu walivyofanya pamoja lakni mwenzake anakuwa hampendi kabsa na kuna vitu baaadhi anakuwa anafanya ili tu mwanaume au mwanamke achoke na kuomba breakup.

Kawaida kwa mtu unaempenda huwa ni ngumu sana kumuacha aende kwani unahisi anapoenda kuna vitu mwenzako atavipata kama kwako au zaidi. Naomba tubadilishane mawazo kidogo.

View attachment 2546418
Je, ulishawahi kuachana na mtu umpendae. Je, ilikuwaje?
Mhhh subil kwanza narudi.
 
Mbaka hapa naandika Kuna mtoto was mtu nime rializi sipendwi.. lakini moyo wangu king'ang'anizi najaribu kumuacha nakaa week namrudia kwa speed saaaaana.

Huu mwaka sitoboi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alini block. Akawa akiulizwa na washkaji jamaa hajambo? anajibi "hajui na nimemblock". Na Kwa kuwa wabongo ni Wangese na ndio maana hawaendelei. Hawaulizi sababu wanakenua tu.

Huyu Dem mke wa mtu ameniblock akidhani mm nitaumia. Ilikuwa ni kuvuja kwa pakacha. Na amenisaidia maana mambo ya kupakwa mafuta ningewezea wapi.

Nimetokea kumchukia na sikutaka.kufanya hivyo..japo nilimpenda Sana na.kwa kweli kuachwa Kuna maumivu flan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuachana mnaopendana kugumu sana
Lakini kunawakat hamna namna
Ila mazoea yanatesa kuliko mapenz yenyew kuwaza mambo mazuri mlofanya kufanya pamoja
Hadi wee shangaziii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ilikuwa long high school alinicrush sema nilimpotezeaga [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] ilimuuma sana maana rafiki zangu walisema kanipendea nilivyo sio [emoji383] wala nn daa udomo zege ni shida wakuuu [emoji19][emoji19][emoji19].

[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mungu anirehemu tu asee ni aibu sana.

Hii kitu dawa yake ni πŸ’° tu asee sina jinsi ila kumsimamisha demu mtaani siwezi asee πŸ˜”πŸ˜” πŸ˜•

Sema tumetofautiana ila πŸ’° na appearence + personality zitanibeba 😯😯

😎😎😎😎😎
Mkuu Kwa hiyo huna kituπŸ’°πŸ’Έila unaπŸ‘” tu.

Mimi sikuwa na πŸ’°πŸ’Έ nilikuwa na πŸ‘” haiba flan hivi.. Kwa Sasa imepotea... Yaani madem nawasikia tu. Nimeishia kula mabaa maid hapa nipo na cheki na Moja nikalile
 
Mkuu Kwa hiyo huna kituπŸ’°πŸ’Έila unaπŸ‘” tu.

Mimi sikuwa na πŸ’°πŸ’Έ nilikuwa na πŸ‘” haiba flan hivi.. Kwa Sasa imepotea... Yaani madem nawasikia tu. Nimeishia kula mabaa maid hapa nipo na cheki na Moja nikalile
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom