dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
tatizo ni pale una X mmoja tuMemory zinaondoka itadepend na ww unawaza nn kichwani
Km unabisha tafuta List ya EX ZAKO WOTE KM UTAWAKUMBUKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo ni pale una X mmoja tuMemory zinaondoka itadepend na ww unawaza nn kichwani
Km unabisha tafuta List ya EX ZAKO WOTE KM UTAWAKUMBUKA
Rudi kamuombe msamaha 😅😅memories hazitaki-ondoka mzee, kungekua na namna ya futa partition flani kama tufanyavyo kwenye hard disk, ingekua poa sana
Utakuwa umewekeza hela kubwa zinakuumaMbaka hapa naandika Kuna mtoto was mtu nime rializi sipendwi.. lakini moyo wangu king'ang'anizi najaribu kumuacha nakaa week namrudia kwa speed saaaaana.
Huu mwaka sitoboi😂😂😂
😬 utabadili mada sasa hivi ohooo,Rudi kamuombe msamaha 😅😅
Nakazia nakaziaKinachoweka ugumu sio upendo, ni yale mazoea tu. Mazoea yanatabu sana.
Ndio maana mkiachana, you don't miss the person, you miss the memories.
Njia sahihi ni kukubali yaishe uwe na amani, kamwe usifosi mtu kuwa kwenye maisha yako kama hataki. Ukifosi utawajibika kwa maumivu utakayokutana nayo.ko njia salama ni ipi unadhani ni bora kuendlea nakuzidi kudidimia kwa maumivu na manyanyaso...
Kuna namna ya kuformat kila kitu. Ila ukifanya hivyo unaanza kujifunza mambo upya.memories hazitaki-ondoka mzee, kungekua na namna ya futa partition flani kama tufanyavyo kwenye hard disk, ingekua poa sana
hapa hapana kwa kweli. nishaghairihuenda ukaanza kuwa mpinga babycare
Nakazia
mkuu bado niko chamaniChief umeachana na kuslide
Naona unaslide Km unaswipe left kene iPhone.mkuu bado niko chamani
hahahaha niko chamani, izo mambo ya kuunganisha nyuchi ilikua kitamboNaona unaslide Km unaswipe left kene iPhone.