Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufinyu tu wa kufikiri hata ukirudi mambo hayawez kuwa kama mwanzo ni kujipotezea muda tuNa haya mazoea ndo yanafanyaga baadhi ya ma-ex wanajikuta wanapasha viporo hata kama wapo kwenye mahusiano mengine mapya
Me Huwa Unacheka sana nikiskilizaga kile kipindi.... Kina Chai kama kinarekodiwa Mufindi.hahahaha kudadeki
mwambie dokta, coochie ziwe bure, mwambie dokta coochie ziwe free from Warts na Herpes
hapo mimi nitaacha Nyenga
sema nini, unafaidi sana yule prom queen wa chugaMe Huwa Unacheka sana nikiskilizaga kile kipindi.... Kina Chai kama kinarekodiwa Mufindi.
😁 Ila kuna watu ukikutana nao unasahau kabisa kama uliwahi kuumizwa, wanajua kupenda sana😀Yaani ukichukia Unateseka balaa kubali tu penda kwingine ukiweza yakikuua tunazika 😀
Kweli kabisa😁 Ila kuna watu ukikutana nao unasahau kabisa kama uliwahi kuumizwa, wanajua kupenda sana
Hapana chief hata simfahamu.sema nini, unafaidi sana yule prom queen wa chuga yule
alaf wote mpo chuga eeh
nakuchana sasa, unafaidi sana mzee, nishawahi date chuga girl, wako sleazy sanaHapana chief hata simfahamu.
We ni wasaba kuniuliza Hv.
Kuna watu sita wamekua inbox wanalia kweli kweli niwape namba... Kiukweli simfahamu
Ataondoka ana mimba au sio?Wiki hii ijumaa hadi jumapili ndo maamuzi magumu ninayoenda kuchukua. Nina mschana nampenda kuliko hata ninavyojipenda mimi. Nimechoshwa na tabia zake za umalaya hivo nataka nijiondoe mazima. Anakuja kwangu kesho, nitakaa naye wiki nzima
Chuga Violent geloz.. Yule ni mtani wangu tu.nakuchana sasa, unafaidi sana mzee, nishawahi date chuga girl, wako sleazy sana
ishu ilitokea baada ya mwanamke huyokuwa ananinyima papuchi mwisho was siku nikaona hmna maana yakuwa naye nahalafu akawa anataka matumizi ya just na popote ninapomuita anakubali kumshishika anakubali linapokuja swala la mzigo tu noma Tena nilimpiga sanaKati ya vitu vigumu ambavyo vimekuwa vinawasumbua vijana wengi sikuhizi ni pale anapokuwa ana mapenzi na mtu ambaye kiukwel yeye anampenda kutokana na mazingira labda waliokutana au vitu walivyofanya pamoja lakni mwenzake anakuwa hampendi kabsa na kuna vitu baaadhi anakuwa anafanya ili tu mwanaume au mwanamke achoke na kuomba breakup.
Kawaida kwa mtu unaempenda huwa ni ngumu sana kumuacha aende kwani unahisi anapoenda kuna vitu mwenzako atavipata kama kwako au zaidi. Naomba tubadilishane mawazo kidogo.
View attachment 2546418
Je, ulishawahi kuachana na mtu umpendae. Je, ilikuwaje?
Upo kama mimi na nimesikia anachumbiwa kabisaMbaka hapa naandika Kuna mtoto was mtu nime rializi sipendwi.. lakini moyo wangu king'ang'anizi najaribu kumuacha nakaa week namrudia kwa speed saaaaana.
Huu mwaka sitoboi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari hata mimi nimewekeza zinaumaUtakuwa umewekeza hela kubwa zinakuuma
oshey mr moneyKati ya vitu vigumu ambavyo vimekuwa vinawasumbua vijana wengi sikuhizi ni pale anapokuwa ana mapenzi na mtu ambaye kiukwel yeye anampenda kutokana na mazingira labda waliokutana au vitu walivyofanya pamoja lakni mwenzake anakuwa hampendi kabsa na kuna vitu baaadhi anakuwa anafanya ili tu mwanaume au mwanamke achoke na kuomba breakup.
Kawaida kwa mtu unaempenda huwa ni ngumu sana kumuacha aende kwani unahisi anapoenda kuna vitu mwenzako atavipata kama kwako au zaidi. Naomba tubadilishane mawazo kidogo.
View attachment 2546418
Je, ulishawahi kuachana na mtu umpendae. Je, ilikuwaje?