Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupenda sio poa aiseeMbaka hapa naandika Kuna mtoto was mtu nime rializi sipendwi.. lakini moyo wangu king'ang'anizi najaribu kumuacha nakaa week namrudia kwa speed saaaaana.
Huu mwaka sitoboi😂😂😂
Utateseka vibaya sana 😂😂😂Mbaka hapa naandika Kuna mtoto was mtu nime rializi sipendwi.. lakini moyo wangu king'ang'anizi najaribu kumuacha nakaa week namrudia kwa speed saaaaana.
Huu mwaka sitoboi😂😂😂
💯🤝Kuachana ni kawaida ila kukubali na kumove on ndio mtihani mgumu mno hasa kwa mtu ambae ulimpenda sana😬
Maumivu yake hayaelezeki
Upendo haujifichinawakumbusha mpende kiasi na nafikilia hata ukimpenda sana nadhani usimuoneshe au mnaonaje wakubwa
Nna EP ya Dk. Ndodi kuhusu madhara 57 ya kuslide.hahahaha niko chamani, izo mambo ya kuunganisha nyuchi ilikua kitambo
Dr. Ndodi aje akate johnson aondoke nayo kabisa,Nna EP ya Dk. Ndodi kuhusu madhara 57 ya kuslide.
Ukitoboa huu mwaka labda wakuwekee betri kuimarisha umeme.
Acha kabisa, kuna muda inabidi mkubali tu yaishe ila kupenda kubaya bora upendwe.Kuachana mnaopendana kugumu sana
Lakini kunawakat hamna namna
Ila mazoea yanatesa kuliko mapenz yenyew kuwaza mambo mazuri mlofanya kufanya pamoja
mzee kwa ku like tu, hujamboAcha kabisa, kuna muda inabidi mkubali tu yaishe ila kupenda kubaya bora upendwe.
Kweli na ukitaka kuwa na amani usichukue mapenz wew ukipata mwingine penda mwendo mdundo had ufe ,😂😂 ila ukichukia ndo yanakutesa zzaidiAcha kabisa, kuna muda inabidi mkubali tu yaishe ila kupenda kubaya bora upendwe.
😁 kawaida mkuumzee kwa ku like tu, hujambo
Anasema hauwezi kua na Jinsia zote kwa wakati Mmoja.Dr. Ndodi aje akate johnson aondoke nayo kabisa,
ndoa yangu mimi na Mamujee itakua imekomea hapo
Ukichukia that means bado unaishi na kuyabeba maumivu, uruhusu moyo kuamini kuwa kuna upendo tofaut na yule aliekuumiza. Mpaka yaniue 😂Kweli na ukitaka kuwa na amani usichukue mapenz wew ukipata mwingine penda mwendo mdundo had ufe ,😂😂 ila ukichukia ndo yanakutesa zzaidi
Na haya mazoea ndo yanafanyaga baadhi ya ma-ex wanajikuta wanapasha viporo hata kama wapo kwenye mahusiano mengine mapyaKuachana mnaopendana kugumu sana
Lakini kunawakat hamna namna
Ila mazoea yanatesa kuliko mapenz yenyew kuwaza mambo mazuri mlofanya kufanya pamoja
hahahaha kudadekiAnasema hauwezi kua na Jinsia zote kwa wakati Mmoja.
Nyenga ni mapenzi ya Jinsia moja alisema dokta huyo.
😀Yaani ukichukia Unateseka balaa kubali tu penda kwingine ukiweza yakikuua tunazika 😀Ukichukia that means bado unaishi na kuyabeba maumivu, uruhusu moyo kuamini kuwa kuna upendo tofaut na yule aliekuumiza. Mpaka yaniue 😂