Je, umewahi kuachana na mtu uliewahi kumpenda? Ilikuwaje?

Ilikuwa long high school alinicrush sema nilimpotezeaga πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜” ilimuuma sana maana rafiki zangu walisema kanipendea nilivyo sio πŸ’° wala nn daa udomo zege ni shida wakuuu πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’.

😊😊😊😊
 
Poleee,ila saivi si ushakuwa mzoefu?au bado Domo zege πŸ˜†
 
Poleee,ila saivi si ushakuwa mzoefu?au bado Domo zege πŸ˜†
Mungu anirehemu tu asee ni aibu sana.

Hii kitu dawa yake ni πŸ’° tu asee sina jinsi ila kumsimamisha demu mtaani siwezi asee πŸ˜”πŸ˜” πŸ˜•

Sema tumetofautiana ila πŸ’° na appearence + personality zitanibeba 😯😯

😎😎😎😎😎
 
Mhhh subil kwanza narudi.
 
Mbaka hapa naandika Kuna mtoto was mtu nime rializi sipendwi.. lakini moyo wangu king'ang'anizi najaribu kumuacha nakaa week namrudia kwa speed saaaaana.

Huu mwaka sitoboi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuachana mnaopendana kugumu sana
Lakini kunawakat hamna namna
Ila mazoea yanatesa kuliko mapenz yenyew kuwaza mambo mazuri mlofanya kufanya pamoja
Hadi wee shangaziii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Mkuu Kwa hiyo huna kituπŸ’°πŸ’Έila unaπŸ‘” tu.

Mimi sikuwa na πŸ’°πŸ’Έ nilikuwa na πŸ‘” haiba flan hivi.. Kwa Sasa imepotea... Yaani madem nawasikia tu. Nimeishia kula mabaa maid hapa nipo na cheki na Moja nikalile
 
Mkuu Kwa hiyo huna kituπŸ’°πŸ’Έila unaπŸ‘” tu.

Mimi sikuwa na πŸ’°πŸ’Έ nilikuwa na πŸ‘” haiba flan hivi.. Kwa Sasa imepotea... Yaani madem nawasikia tu. Nimeishia kula mabaa maid hapa nipo na cheki na Moja nikalile
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…