Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Lidafo

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
889
Reaction score
1,789
Katika maisha kila mtu ana amini katika kile anachokiamini kuanzia kwenye maisha binafsi, dini, uchumi, siasa n.k.

Kuna watu wanaamini biashara bila ndumba haiendi, kuna wanao amini mapenzi bila pesa lazima mwanamke Aku cheat n.k.

Mimi kwa upande wangu nilikuwa naamini kutumia miti shamba kujitibu ni ujinga tena nikihusisha na ushirikina lakini kwa sasa hapana siamini hivyo nimejua kuwa miti na mimea kwa ujumla ina siri nyingi na ni tiba sana.

Vipi wewe kwa upande wako Ulishawahi kubadili mawazo yako na kuacha kuamini kitu ambacho ulikiamini awali ? na Kwanini?
 
Mimi binafsi nilikuwa naamini mungu yupo ila nikaja kugundua ni hadithi tu za alinacha za kutunga zisizo na ukweli wowote.

Biblia ni kitabu kilichotungwa na watu. Quran kama inavyoeleza yenyewe iliandikwa na watu ambao hawakufika hata darasa la pili, thinking yao ni kama ya watoto wa chekechea.

Mungu hayupo, ni hadithi tu zisizo na kichwa wala miguu.
 
Mimi binafsi nilikua naamini mungu yupo ila nikaja kugundua ni hadithi tu za alinacha za kutunga zisizo na ukweli wowote.

Biblia ni kitabu kilichotungwa na watu. Quran kama inavyoeleza yenyewe iliandikwa na watu ambao hawakufika hata darasa la pili, thinking yao ni kama ya watoto wa chekechea.

Mungu hayupo, ni hadithi tu zisizo na kichwa wala miguu.
Hiyo level uliyofikia mkuu sio poa, embu kaa chini ujitafakari ktk Hali ya umauti na uzima then urudi hp
 
Katika maisha kila mtu ana amini katika kile anachokiamini kuanzia kwenye maisha binafsi, dini, uchumi, siasa n.k.

Kuna watu wanaamini biashara bila ndumba haiendi, kuna wanao amini mapenzi bila pesa lazima mwanamke Aku cheat n.k.

Mimi kwa upande wangu nilikuwa naamini kutumia miti shamba kujitibu ni ujinga tena nikihusisha na ushirikina lakini kwa sasa hapana siamini hivyo nimejua kuwa miti na mimea kwa ujumla ina siri nyingi na ni tiba sana.

Vipi wewe kwa upande wako Ulishawahi kubadili mawazo yako na kuacha kuamini kitu ambacho ulikiamini awali ? na Kwanini?
Samia Suluhu
 
Mambo mengi tu. Kuongeza maarifa kunatufanya tutupilie mbali imani za zamani. Tunatakiwa tuwe watu wa kutafuta ukweli na walio tayari kubadilika tukikutana na ukweli mpya.

1. Nilikuwa naamini Yesu ni Mungu kumbe siyo.
2. Niliamini demokrasia ni nzuri kuliko udikteta kumbe siyo.
3. Niliamini USA ndiyo kilele cha ubora, kumbe ni shithole kama shitholes zingine.
4. Niliamini CHADEMA ni chama cha Maana kumbe hamna kitu.
5. Niliamini ubepari na soko huria kumbe ni hovyo kabisa.
 
Katika maisha kila mtu ana amini katika kile anachokiamini kuanzia kwenye maisha binafsi, dini, uchumi, siasa n.k.

Kuna watu wanaamini biashara bila ndumba haiendi, kuna wanao amini mapenzi bila pesa lazima mwanamke Aku cheat n.k.

Mimi kwa upande wangu nilikuwa naamini kutumia miti shamba kujitibu ni ujinga tena nikihusisha na ushirikina lakini kwa sasa hapana siamini hivyo nimejua kuwa miti na mimea kwa ujumla ina siri nyingi na ni tiba sana.

Vipi wewe kwa upande wako Ulishawahi kubadili mawazo yako na kuacha kuamini kitu ambacho ulikiamini awali ? na Kwanini?
Nilikuwa naamini kwamba Wapare wanakula ugali kwa samaki wa kuchora. Yaani wao wanapika ugali tu, halafu mboga au kitoweo ni samaki waliyemchora ukutani au kwenye karatasi.
Kwa kufikiri kwamba mbinu hii ya wapare itanipunguzia garama, nikampa mchoraji anichoree samaki mkuuubwa wa kuoka akiwa kwa sahani na pembeni yake achore masalo, mchicha na ndizi mbivu mbili bila kusahau kasto lite 4.

Niliacha kuamini baada ya kujua kwamba haiwezekani kula ugali kwa picha, na kwamba Wapare wanaofanya hivyo ni ubahili tu unawasumbua
 
.
IMG_20230828_173708.jpg
 
Back
Top Bottom