Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Mimi binafsi nilikua naamini mungu yupo ila nikaja kugundua ni hadithi tu za alinacha za kutunga zisizo na ukweli wowote.
uligunduaje mkuu kwamba ni hadithi za kutunga!!!
Biblia ni kitabu kilichotungwa na watu.
wewe umetunga kitabu gani???
Quran kama inavyoeleza yenyewe iliandikwa na watu ambao hawakufika hata darasa la pili, thinking yao ni kama ya watoto wa chekechea.

Mungu hayupo, ni hadithi tu zisizo na kichwa wala miguu.
vipi historia ya mkwawa na kinje nayo unaionaje si ni hadithi iliyotungwa pia au???
 
uligunduaje mkuu kwamba ni hadithi za kutunga!!!

wewe umetunga kitabu gani???

vipi historia ya mkwawa na kinje nayo unaionaje si ni hadithi iliyotungwa pia au???
Seriously unafananisha history ya kinie na story za mtu aliyetembea juu ya maji na kupaa mawinguni bila kukosa oxygen...kuwa serious bac
 
Nawewe solution yako ni kukataa kuwa watu wawili hawawezi kuwa uchi kwenye bustani au?
Anyway..Embu nisaidie na hili swali pia kwa mujibu wa sayansi iliyowatoa ujinga.
Ni ipi asili ya dunia?
🤣🤣🤣🤣🤣Unajua we ni mjinga Sana haya maswali nishayazoea...jibu lake ni sijui na wewe hujui..na huyo mtu aliyeandika kitabu miaka buku iliyopita hajui...acha kujikosha kila dini inasema Mungu wake ndo mwanzo wa kila kitu...sio Yahweh sio Allah sio brahma sio Odin sio Zeus .so haushtui mtu hapa...just coz watu hatujui doesn't mean unaweza tunga story yoyote na ukampachika Mungu wako...
 
🤣🤣🤣🤣🤣Unajua we ni mjinga Sana haya maswali nishayazoea...jibu lake ni sijui na wewe hujui..na huyo mtu aliyeandika kitabu miaka buku iliyopita hajui...acha kujikosha kila dini inasema Mungu wake ndo mwanzo wa kila kitu...sio Yahweh sio Allah sio brahma sio Odin sio Zeus .so haushtui mtu hapa...just coz watu hatujui doesn't mean unaweza tunga story yoyote na ukampachika Mungu wako...
Sasa kama kitu hujui unapata wapi legitimate ya kusema claim yake ni ya uwongo.
Ili uweze kusema jambo sio lazima ujue ndio ni ipi sasa wewe hujui alafu unapinga claims za wenzako , Hii ni futui pro max
 
Sasa kama kitu hujui unapata wapi legitimate ya kusema claim yake ni ya uwongo.
Ili uweze kusema jambo sio lazima ujue ndio ni ipi sasa wewe hujui alafu unapinga claims za wenzako , Hii ni futui pro max
🤣🤣🤣Coz tunajua dunia haijaanza 6000 years ago na Adam n eve n a snake in the garden. Na tunajua ni uwongo coz story haimake sense kwa mtu anayejielewa. Plus imekuwa copied na pasted kutoka dini zingine throughout history...so sio kitu Cha kuaminika. Mi naweza nisijue rais wa marekani ni nani lakini ukiniambia ni magufuli nakataa...🤣Huna hoja wewe...utaaibika tu hapa. Kutojua kitu doesn't mean uamini jibu lolote...
 
🤣🤣🤣Coz tunajua dunia haijaanza 6000 years ago na Adam n eve n a snake in the garden. Na tunajua ni uwongo coz story haimake sense kwa mtu anayejielewa. Plus imekuwa copied na pasted kutoka dini zingine throughout history...so sio kitu Cha kuaminika. Mi naweza nisijue rais wa marekani ni nani lakini ukiniambia ni magufuli nakataa...🤣Huna hoja wewe...utaaibika tu hapa. Kutojua kitu doesn't mean uamini jibu lolote...
Wewe mwenye hoja mbona huzitoi?
Alafu ni aibike kwa kipi ? Katika kutafuta elimu Kuna stage nne, Bahati mbaya wewe upo stage ya kwanza katika kujifunza katika stage hii Mtu hudhani anajua kila kitu na hapa mtu huwa anajifungia katika cage ya kudhani kuwa hayo anayo ya elewa ndio kweli, bila kujiuliza hivi hichi ninacho kiita kweli ni kweli ndio kweli?. There is alot of things beyond science my friend , Ongeza hekima yako katika kujifunza utajua mambo mengi ila kwa level yako you are so weak to argue this kind of topic.
Anyway...Nisaidie na hili swali pia mwanasayansi mbobezi wa karne hii.
What is origin of solar system?
 
Seriously unafananisha history ya kinie na story za mtu aliyetembea juu ya maji na kupaa mawinguni bila kukosa oxygen...kuwa serious bac
kwani kwa mujibu wa maelezo yako zote hizi ni stori tu??au hadithi??

mkwawa kuchapa wajeruman handsdown,umepokea kama hadithi iliyotokea,ila Yesu kutembea juu ya maji unasema hapana huo ni uongo wa kutunga tu.

historia ndio zinafanya tujue hata ni wapi tunaelekea,kama unazikataa na kuita ni uongo kataa zote.
 
🤣🤣🤣Coz tunajua dunia haijaanza 6000 years ago na Adam n eve n a snake in the garden.
dunia imeanza miaka bilion ngapi iliyopita??
na binaadam wa kwanza kuishi??bila sahaka unatumia rejea ya historia za mashuleni.
Na tunajua ni uwongo coz story haimake sense kwa mtu anayejielewa.
nini maana kujielewa!!!yaani kujielewa kwako kuna uhusiano gani na story hizi za vitabu!!!
Plus imekuwa copied na pasted kutoka dini zingine throughout history...
history ndio msingi wa elimu zote,hata unapotaka kuegemea kama rejea ni history ndio utaitumia,ambayo bado huwezi kuitetea kwa ushahidi kwamba ni kweli.sijui nayo inakuwa uongo kwa fikra zako??
so sio kitu Cha kuaminika.
wewe haupo katika kundi la wasioziamini,wewe uko kwenye kundi la wanaozikataa,kundi la wasio ziamini huwa wana hoja makini sana.
Mi naweza nisijue rais wa marekani ni nani lakini ukiniambia ni magufuli nakataa...
unakataa kwa sababu unajua magufuli ni rais mmoja tu kuwahi kutokea tz,kwa sababu unamjua magufuli,vipi nikikwambia franklin ni rais wa marekani utakataa au utakubali??
🤣Huna hoja wewe...utaaibika tu hapa. Kutojua kitu doesn't mean uamini jibu lolote...
sasa mbona wewe hakuna unachokijua na ndio unatumia hiyo kuwa sababu ya kukataa ??
yaani useme wewe ni mrefu sababu sikujui nakataa kwamba hapa sio kweli.
 
Wewe mwenye hoja mbona huzitoi?
Alafu ni aibike kwa kipi ? Katika kutafuta elimu Kuna stage nne, Bahati mbaya wewe upo stage ya kwanza katika kujifunza katika stage hii Mtu hudhani anajua kila kitu na hapa mtu huwa anajifungia katika cage ya kudhani kuwa hayo anayo ya elewa ndio kweli, bila kujiuliza hivi hichi ninacho kiita kweli ni kweli ndio kweli?. There is alot of things beyond science my friend , Ongeza hekima yako katika kujifunza utajua mambo mengi ila kwa level yako you are so weak to argue this kind of topic.
Anyway...Nisaidie na hili swali pia mwanasayansi mbobezi wa karne hii.
What is origin of solar system?
🤣 Hivi hujanielewa... niambie biblia imesema Nini kuhusu solar system...zaidi ya kusema jua mwezi na nyota zote zimewekwa angani Kama tochi ndani ya siku moja wakati dunia imetengenezwa siku tatu... Mimea imekuwa kabla ya jua kuwepo, ukienda kwenye Quran jua linazama kwenye tope asubuhi linamwomba Allah kuchomoza...afu unataka niamini hivi vitabu vinielezee solar system..kwamba nyota zinaweza kuangushwa na mkia wa dragon, anga ni ceiling board ...kweli. Hebu tue serious. Mi kuamini Mungu yupo sio lazma niamini upuuzi ulioandikwa na wajinga
 
Niliacha kuamini dini baada ya kujua kwamba ilitengenezwa na binadamu kwa maslai yao binafsi, na roman catholic ni miongoni mwa secret societies .

niliacha kuamini katika dawa za hospital baada ya kugundua kwamba ni biashara za watu, wanakupa dawa ya kutibu tatizo na kuzalisha tatizo
 
kwani kwa mujibu wa maelezo yako zote hizi ni stori tu??au hadithi??

mkwawa kuchapa wajeruman handsdown,umepokea kama hadithi iliyotokea,ila Yesu kutembea juu ya maji unasema hapana huo ni uongo wa kutunga tu.

historia ndio zinafanya tujue hata ni wapi tunaelekea,kama unazikataa na kuita ni uongo kataa zote.
Yesu kutembea juu ya maji sio historical information hio ni dini...hamna kitabu chochote Cha historia utasoma kwamba Yesu alitembea juu ya maji..ndo maana Yesu hata kwa waislamu yupo na ana story tofauti kabisa...ndo ujue hizi ni story tu kila mtu anakuja na lake
 
Back
Top Bottom