sasa hoja ulete wewe alafu uthibitisho nikatafute mimi does it make sense?😂😂😂Ingia mtandaoni tafuta hio verse ya Hadith urudi..mbona unaogopa...,😂😂😂😂yaani mwaka mzima unabisha..kitendo kwamba hujui inaonyesha hujui dini umefata tu mkumbo kuogopa kuchomwa kitako
Kwasababu hinduism sio dini ya haki na kweli.😂😂😂😂Why sio Hinduism.. ushawahi skia Mhindu analipua jengo au Basi...mbona wahindi nao Wana haki na kweli
Nimesoma ulivyoeleza vyema hapo juu, nilikuwa najaribu tu kumuonyesha hata ingesema alivyobadili au anavyotaka yeye bado ni makosa. Maana sasaivi kuna tafsir wanazileta nyingi nyingi kufunika uongo wa Muhammad .Mkuu Quran haijasema ulichosema hiyo imeongezwa we soma nilivyoelezea hapo juu
alikuwa aoti alitokewa na Malaika Jibril kweli.😂😂😂😂Sina Mungu wangu mimi. Siwezi kumpa mtu sifa simjui, sijawahi muona, sijawahi ongea nae. we sifa za muarabu mmoja aliyekuwa anaota pangoni ndo unajikuta una Mungu
Nili quote tu alichokuwa katuletea Sheikh wetu LidafoMkuu Quran haijasema ulichosema hiyo imeongezwa we soma nilivyoelezea hapo juu
ndio mimi najikuta nina mungu vipi wewe sifa za wanasayansi waliokosa majibu juu asili ya ulimwengu na binadamu ndio unajikuuuuuuuta hauna mungu.....🚮😂😂😂😂Sina Mungu wangu mimi. Siwezi kumpa mtu sifa simjui, sijawahi muona, sijawahi ongea nae .we sifa za muarabu mmoja aliyekuwa anaota pangoni ndo unajikuta una Mungu
halikuhusu kwasababu hizo dini nilizotaja hazikatai uwepo wa mungu .😂😂😂Kwa Nini lisimhusu.. umetaja dini tatu ..hizo sio za kwanza Wala za mwisho .na humo zimekopiana vya kutosha ..huyo Mungu wa ukweli Yuko wapi mbona kila jamii Ina Mungu wake...😂tofauti ni kwamba jamii moja ilipenda vita na kutaka kumsambaza Mungu wao .
unaifahamu darwinism theory of evolution!!!!Nipe mfano wa concept ya science ambayo hsiko proved experimentally ni maelezo tu ?
hujui ila umekariri hivyo.Yuko wapi huyo anaepaa na ungo nimuone? Mbona mi najua watu husafiri Kwa ndege, mabasi, train, cable cars
ok sawa.Kutembea juu ya majibu na alikuwa na mwili kama binadamu [emoji23][emoji23] ni wadudu tu kama water striders ndo surface tension inawaruhusu kusimama juu ya maji
na sababu mbona imendikwa kwanini kwa sura ya mtu ilibidi ashike udongo!!!!Najua aliumba bila vifaa alitamka tu vikaja, wanadamu walibumbwa kwa udongo [emoji23][emoji23]
ndio, kwamba kabla binaadam hajawa alivyo leo alikuwa nyano flani hivi 😅Utafiti wa science unaonyesha dunia Ina umri wa zaidi ya hiyo miaka 6000 ambayo biblia inaonyesha
tutajuaje labda walikuwa wanatafuta fimbo ya musa.Utafiti wa archeologist haujawahi kupata ushahidi wa Wana wa Israeli kutumikishwa misri
Unataka tafiti gani za zaidi hizi hazitoshi?
mimi ulishawahi kunisoma wapi nikidai kuna science kwenye biblia ama Quran!!!Mbona sasa mnasemaga kwamba kuna mambo ya kisayansi kwenye biblia [emoji23][emoji23] na Quran (hasa waislamu eti kuna vitu uislamu ulijua kabla ya tafiti za science kugundua[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Bac kungekuwa na dini moja...mbona kila mtu anasema kaongea na mungu afu kila mtu anachake
hata hii yako ni dini pia.Bac kungekuwa na dini moja...mbona kila mtu anasema kaongea na mungu afu kila mtu anachake
dawa kuwa na makaratasi elfu moja kila moja na maelezo yake huo ni mfano wa dini nyingi zenye maelezo tofauti juu ya mungu, Hapo kuna karatasi moja ina maelezo ya kweli ambayo ni hiyo yenye maelezo ya kiarabu.Asa we ni muislam ndo maana unasema hivyo . Na kila dini ndo inasema Ina maandiko ya Mungu mwenyewe na wengine wote ni waongo...ni sawa ninunue dawa afu nakuta karatasi elfu moja kila moja Ina maelezo yake...ehe unafanyaje apo..😂au unachukua yenye maandishi ya kiarabu
Sasa hapo ndio umeongea nini kwamba ulitaka ukilala na moyo ufanyajeMjinga wewe! Bado upo ktk Karne ya giza. Mpaka Leo unaongea upuuzi huo eti hakuna mungu?? Hujiulizi ukiwa UMELALA!! Viungo vyote havifanyi kazi ispokua moyo! Je unajua SIRI YA TUKIO HILO?
Lofaa sana
Mimo naomba nijibu ni ipi asili ya MunguNawewe solution yako ni kukataa kuwa watu wawili hawawezi kuwa uchi kwenye bustani au?
Anyway..Embu nisaidie na hili swali pia kwa mujibu wa sayansi iliyowatoa ujinga.
Ni ipi asili ya dunia?
sasa Muhammad ndio kasema tumeumbwa na Mungu na kaja na sheria za mungu.😂Fyn tufanye tumeumbwa...hizo sheria za huyo mwarabu mjinga tunajuaje ni za Mungu
Darwinism sio kwamba haiko proved Ina weaknesses sikatai ambazo hata yeye alikosea especially kuhusu principles fulani za genetics. Lakini Darwinism ndio base/msingi wa maendeleo ya evolutionary biology imeendelea tu kirekebishwa na idea kutoka field zingine kama population genetics, biogeography, palaeontology zimeongezewa Ili kuweza kuleta maana vitu ambavyo vingine Darwin hakuweza kuvipata. Ila pamoja na yote Darwin was a GENIUS ukielewa evolution utaliona hili.unaifahamu darwinism theory of evolution!!!!
hujui ila umekariri hivyo.
ok sawa.
na sababu mbona imendikwa kwanini kwa sura ya mtu ilibidi ashike udongo!!!!
ndio, kwamba kabla binaadam hajawa alivyo leo alikuwa nyano flani hivi [emoji28]
tutajuaje labda walikuwa wanatafuta fimbo ya musa.
mimi ulishawahi kunisoma wapi nikidai kuna science kwenye biblia ama Quran!!!
infact elimu ya science imeikuta imani na miaka mingi tu.
Na darwinism haisemi binadamu alikuwa nyani, nyani ni nyani na binadamu ni binadamu tuko tu kwenye phylogenetic tree moja.Darwinism sio kwamba haiko proved Ina weaknesses sikatai ambazo hata yeye alikosea especially kuhusu principles fulani za genetics. Lakini Darwinism ndio base/msingi wa maendeleo ya evolutionary biology imeendelea tu kirekebishwa na idea kutoka field zingine kama population genetics, biogeography, palaeontology zimeongezewa Ili kuweza kuleta maana vitu ambavyo vingine Darwin hakuweza kuvipata. Ila pamoja na yote Darwin was a GENIUS ukielewa evolution utaliona hili.
Nadhani unafahamu kitu kuitwa theory maana ake nini? Au ni wapi na kwenye nini tunatakiwa kutumia neno theory
Fimbo ya Musa ya nini. Wakati kila mzaliwa wa kwanza wa misri anakufa waisraeli waliambiwa nyumba zao waziwekee alama. Kwa hiyo walijenga nyumba misri. Vipi ziliyeyuka zote? Hata moja haikubaki?
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app