Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Huyo atakua mod😹
 
Palikuwa pamoto sana enzi hizo, Kwamba mtu ukikosekana kwa hata dakika moja unapitwa na Mambo kama ya siku 365 🙌
 
sasa kwanza utajuaje kama huyu ndie fulani?

Pili kkama mna miadi ya kukutana si mnaonana unajitambulisha nn!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…