Kufungua sio shida, shida wakati nataka ku-reply post ya mtu au kuchangia mada.Lakini ukifungua mbn hata username haionekani maybe sijui ufanye nn ndo mtu akushtukie
Yah ukiachana na tunaofahamiana, kuna ambao huwa wananibamba kwenye daladala na sehemu zingine, ila sina hakika kama wanaona ID.Basi wewe utakuwa unajulikana na wengi sana, mmojawapo atakuwa huyu Poor Brain
Umeona mambo yakoβ¦Ilikua China plaza...
Ulikua na maza mmoja hvi yeye alikua anapiga simu kwa wakala...
Kumbuka madam
Na Huwa najua tuko wengi, member utaona anakodoa tu ili ajue acc name,Siri sirini π
Hiyo ya 1 huyo mkaka noma kwa uchunguzi.1.2019 nipo kwenye Coaster natoka Arusha kwenda Moshi...Nilikaa ile siti karibu na mlangoni...nipo JF kuna Uzi mmoja ulikuwa hot sana na Dada mzuri Heaven Sent kuna ushauri alikuwa anautoa kwenye hiyo mada..nikawa nafuatilia kwa makini sana wakati huo sikuwa active sana hapa jukwaani...kufika Machame road kuna Abiria akashuka Mkaka( si haba)[emoji2]wakati anashuka akaniambia kumbe wewe ndiyo Makiseo( ID yangu ya mwanzo).
2. Kibaruani kwangu...Kuna mmojawapo alinibamba...Kipindi App ikiwa ipo poa...Ila hakuona ID...Akaniambia kumbe Familia[emoji1]
Hawaoni,labda uanze kulog offYah ukiachana na tunaofahamiana, kuna ambao huwa wananibamba kwenye daladala na sehemu zingine, ila sina hakika kama wanaona ID.
Huu umbea ni wa mwaka gani? Siamini kama ulinipita.Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.
Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Ooh kweli mkuu nimekumbuka kumbe ulikuwa ni wewe, ulivoniona nahangaika kuchungulia ID yako ukafunga tab ya JF πMkuu hata wewe nakujua...
Sema ndo hvo ID nayotumia daah..
Nilikutana na wewe mbezi kule stand ya magari ya kwenda chanika
Kwa nini mkuu πHao wachache niliojaliwa kukutana nao walikuwa watu wema tu except one, kile kiazi hata kesho nikikiona njiani naweza kukichapa makofi.
Wee usiniambie πNilio kutana nao ila hawakujua kama mimi ni poor brain ni hawa
DIVISHENI FOO
Mpaji Mungu
Aaliyyah
Mshana Jr
Vincenzo Jr
Daaah we jamaa toka mwanzo nakuonaga ni mkorofi tuu ππππππππHao wachache niliojaliwa kukutana nao walikuwa watu wema tu except one, kile kiazi hata kesho nikikiona njiani naweza kukichapa makofi.
Mama wa mapishi jf hapa..Wee usiniambie π
πππππTawileeeOoh kweli mkuu nimekumbuka kumbe ulikuwa ni wewe, ulivoniona nahangaika kuchungulia ID yako ukafunga tab ya JF π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini?
Habari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
πΉ Ulijisikiaje?
πΉ Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
πΉBaada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! π’π
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Akija niliyemtag atakuhadisia maana katoa hadithi nyingi sana kwenye huu Uziπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini?