Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ni kweli ila nadhan yule dada kanifatilia muda mrefu kuna muda nilikuwa na reply mana nilikaa kwa muda nadhan mpaka amekuja atakuwa amepata uhakika nakunifaham by the way sikujali sanaaa and now nataman nimuone humu na uwenda ikawa kasoma nilichoandika.Mtu kuijua ID yako wakati unaperuzi siyo rahisi kwa sababu unakuwa una-scroll randomly ataijua pale ume-reply au ume-post kwenye uzi au jukwaa husika na awe makini kweli kweli kukufuatilia.
Mimi simu yangu hashiki mtu zaidi ya wife maana najijua mzito ku-log out kwenye mitandao Jamiiforums ikiwemo.
Nipo ndugu yanguAhahaha weeeh ila kwa sasa adimu ujue
Aliogopa kuliwa kimasihara nakuja kuanikwa mm sio kijana wa ovyo angenipa chance tupate hata kajuice.Huyo atakua mod๐น
Unfortunately na mimi sikumbuki title ya uzi wake.Naiomba
Nikitaka kukuona nakupataje ndgu yanguNipo ndugu yangu
Nipo nyumbniNikitaka kukuona nakupataje ndgu yangu
Sasa kwanini ukashuka mashujaa hukunicheki , nilikua kaunta pale nimetuliaDuuh mkuu nilisafiri juzi kati toka Kilwa kuja kwa Chalamila..nilipanda Buti la Zungu, kufika Nangurukuru tulisimama Mashujaa kuchimba dawa..nikajiangalia kwenye kioo nikajikuta nimekutana na mimi..nilifurahi sana!
Narudia tena wewe inaonekana unanifahamu...na hivyo basi tushagegedana maama mie urafiki na mwanamke sinaga lazima nikukule tuu.Niliwahi kuwa sehemu nikamuona mkaka akafungua kwa siri sana JF nikawa makini kama sungura asielewe ninamchunguza,lahaula yule kaka kufungua I'd anacomment naona I'd mzabzab jamani siku ile ndio niliamini usiamini maneno ya watu wa JF......
๐๐๐๐๐๐๐๐Nipo nyumbni
FaizaFoxy huwa anapenda rosti, ila kama ni kitimoto ya ulimi huwa anapenda ulimi ule ukaushwe uwe kavu.
Sema huwa hapendi kula hadharani, mara nyingi wanakuwaga na Malaria 2 pale mwananyamala kuna kapub fulani hivi kapo mafichoni wanasifika kwa kutengeneza kitimoto safi na tamu sana.
Kinywaji hawa watu hupendelea sana K vant
Panaitwaje?
Husiano Mungu anaendelea kulilinda HS....Tunasonga๐คฃ( japo nimecheka sana)Yaani nilivyoshtuka hapa, nikajua ulinichungulia kwenye coaster afu hukunishtua daah๐คฃ๐คฃ๐คฃ
I'm humbled Maki๐๐
Btw ulikuwa uzi gani huo kama unaweza kuumbuka?
Naamini husiano lako linaendelea vizuri kabisa; mimi nalifurahia tu bila sababu
Vizuri.Ooh hata siwazi nachojua humu tupo watu wa aina tofaut na sina time ya kujimwambafai humu kisa hatujuani..... Niko normal tuu ... Madam
Nilikutana na jamaa, afu tunakaa mtaa mmoja kumbe. Wenselaaus mlinda na mwingine ni jmaa angu sana anaitwa charles nyanzari. Ila aka zao nimezifichHabari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
๐น Ulijisikiaje?
๐น Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
๐นBaada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! ๐ข๐
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
kwa muda tuKijana si juzi tu ulisema umeacha pombe wewe?