Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Mimi nina jamaa ofisini wote tunajuana ni wana wa JF ila sijui id yake na nauuhakika hata yeye hafahamu ya kwangu huwa tunashare tu mambo yanavooenda na tunachukizwa na wingi wa chawa na watoto wa Facebook waliojaa JF siku hizi
 
Ni kweli ila nadhan yule dada kanifatilia muda mrefu kuna muda nilikuwa na reply mana nilikaa kwa muda nadhan mpaka amekuja atakuwa amepata uhakika nakunifaham by the way sikujali sanaaa and now nataman nimuone humu na uwenda ikawa kasoma nilichoandika.
 
Niliwahi kuwa sehemu nikamuona mkaka akafungua kwa siri sana JF nikawa makini kama sungura asielewe ninamchunguza,lahaula yule kaka kufungua I'd anacomment naona I'd mzabzab jamani siku ile ndio niliamini usiamini maneno ya watu wa JF......
 
Niliwahi kuwa sehemu nikamuona mkaka akafungua kwa siri sana JF nikawa makini kama sungura asielewe ninamchunguza,lahaula yule kaka kufungua I'd anacomment naona I'd mzabzab jamani siku ile ndio niliamini usiamini maneno ya watu wa JF......
Narudia tena wewe inaonekana unanifahamu...na hivyo basi tushagegedana maama mie urafiki na mwanamke sinaga lazima nikukule tuu.
E u waambie uma wa jf jinsi kibamia kilivyokitamu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Alafu mshangazi mwenye hela nikopesha basi laki moja nikale pale water front huku namcheki yule dada pale mwenye matiti mazuri
 
Panaitwaje?
 
Husiano Mungu anaendelea kulilinda HS....Tunasonga๐Ÿคฃ( japo nimecheka sana)

Huo Uzi nitajaribu kuukumbuka..But ujue tu Comment zako nilizi'screen shot..Maana kilichoombewa Ushauri kwenye Ile mada hakikupishana sana na nilichokuwa napitia kipindi hicho..Na ushauri uliokuwa unatoa ilikuwa ni top notch ...Mungu amekubariki sana kwenye hilo HS..

Siku moja nitapita google photos huko nikuoneshe Reference za comments zako...unaweza usiamini...

Ubarikiwe tu...
 
Nilikutana na jamaa, afu tunakaa mtaa mmoja kumbe. Wenselaaus mlinda na mwingine ni jmaa angu sana anaitwa charles nyanzari. Ila aka zao nimezifich
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ