Okay, safi sana mkuu kama ulikuwa unaifuatilia tangu hapo awali.Yep nimejiunga rasmi 2022...... Before nilikuwa nasoma tuu kupitia google since 2014-15 hapo, nilipogundua Kuna hii jamii forum...... ko sikuwa naifatilia kihivyo kama sasa hivi madam
Hizo group za WhatsApp zipo active? Au ndo zishapoteana ?Okay, safi sana mkuu kama ulikuwa unaifuatilia tangu hapo awali.
Ila humu palikuwa pa moto sana.
Na pakaanza kupoa baada ya baadhi ya members kuanza kufungua magroup ya WhatsApp na kuanza kujizolea wana jukwaa
Yes, baadhi ya groups ziko active na nyingine zilijifia zenyewe.Hizo group za WhatsApp zipo active? Au ndo zishapoteana ?
Nimekuwa nikipata vitu vingi humu hususani kupata shule nzuri advance, pamoja na Mambo mengine niliyohitaji assistance kama kazini nilikuwa ofisi ambayo Haina mwelekezaji zaidi umpigie simu mtu yupo eneo jingine akupe maelekezo,
Lakini kupitia humu nilijua vitu kiasi chake katika ile kazi bila ya yule muongozaji wa awali...
Aseeh na bado nazidi kujifunza yaan hapa nna app mbili tu WhatsApp na jamii forum kwingine naona bdo bado ... Nafurah kuwa huku..Yes, baadhi ya groups ziko active na nyingine zilijifia zenyewe.
Hongera kwa kufanikisha baadhi ya kazi kupitia Jf
Humu kuna rika mbalimbali na maoni pambanuzi ya baadhi ya watu.
Safi sana.
Ni mkongwe lakini, hongera yako 🙌
Njoo tukutaneMimi bado.
ML, good to see you here. Happy new year in advance maana kwa kupotea wewe naweza kukuona tena 2025.
Najidai siijui JF na ni mgeni nchini.Hivyo unaanza kujiokotesha makopo ama?
Huyo uliye muona na tisheti ndo mimi sasa...Kuna jamaa fulani nilimuona kwenye daladala tulikaa siti moja kabisa alikuwa amevaa tisheti ya blue imeandikwa jamii forums.
Nilikuwa nimekaa nimetulia nafanya makisio yangu huenda labda huyu ni Mod au mmojawapo wa wafanyakazi wa JF.
Ili sikutaka tujuane.
Karibu....,Najidai siijui JF na ni mgeni nchini.
Kwani wewe hujakutana na yoyote, kwa sababu zozote? Unazingua 🤣Nimefurahi tu kwakweli mnavokutana huko 😃😃
Shida sio kukutana tatizo matokeo baada ya kukutana shuhuda zinahuzunisha 😃Kwani wewe hujakutana na yoyote, kwa sababu zozote? Unazingua 🤣
Hujanijibu Sophy🤣Shida sio kukutana tatizo matokeo baada ya kukutana shuhuda zinahuzunisha 😃
Nipo nao kwenye group moja la watsap, kuna lijamaa limoja linapenda kujifanya lijuaji utafkir paulo makondaHabari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Nimewah lakin bahat nzuri wanaonyesha kuniheshimu sijui nyuma ya pazia na wawili katiyao me na ke wamefunga ndoa kutoka hapa jf ni rafikizangu borasanaHujanijibu Sophy🤣
Wow, hii imekaa poa sana. Hadi wamefikia kuoana, kumbe tuliopata vimwana kupitia jf ni wengi, sema ni kimya kimya 🤣🤣Nimewah lakin bahat nzuri wanaonyesha kuniheshimu sijui nyuma ya pazia na wawili katiyao me na ke wamefunga ndoa kutoka hapa jf ni rafikizangu borasana
Mimi nn😄Wow, hii imekaa poa sana. Hadi wamefikia kuoana, kumbe tuliopata vimwana kupitia jf ni wengi, sema ni kimya kimya 🤣🤣
Wewe je?🤣🤣🤣
Uliowaona hakuna aliyevutwa na macho yako?🤣Mimi nn😄
Katika mtandao unaowaumiza vichwa TISS ni huu wa JamiiForumsHabari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako