Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Hapana boss..... Nidokeze kunani humo ?
Jukwaa maalum kwa ajili ya watu wazima.
Acha kabisa, achaaaa!!!!
Yaani kule watu walikuwa wako active kuliko wanavyofuatilia mechi za mpira.
Lilikuja kufutwa ilipokuja sera za mitandao.
Dah!! Mpaka mkuu Maxence Melo japo ndio waliloliondoa, ila mpaka wao walisikitika.
 
Mtu anashindia salads za kukaanga na tobo paja la kuku, unene autoe wapi bana😂😂😂😂
Max wa sasa sio yule wa 2010 wakati namfahamu.
Sahv kaota ota nyama na amenawiri mpaka nimefurahi.
Sema ana kitu kimoja tu ambacho hakijabadilika....tabasamu lake.
Ana tabasamu fulani la kuvutia na halichoshi kumuangalia.
Hata akinuna huwa anatabasamu.
Mkewe kapata mume mwema na mpole sana
Sio hawa akina Juma wa huku majumbani mwetu, gubu tu.
 
Wengi walibadili ID na kuja kivingine , wengine wanapita kimya kimya kama huyo miss chitchat chaming L last see inasoma jumanne🤣
Kumbe wako live😂😂😂
ID kibao zimebadilishwa baada ya watu kupata maskendo mbalimbali.

Unakumbuka yule mdada wa ArushaWing aliyefumaniwa na mume wa mwanajf wakiwa Arusha Marathon?
Jamaniiii.....acha tu
 
Kumbe wako live😂😂😂
ID kibao zimebadilishwa baada ya watu kupata maskendo mbalimbali.

Unakumbuka yule mdada wa ArushaWing aliyefumaniwa na mume wa mwanajf wakiwa Arusha Marathon?
Jamaniiii.....acha tu
Wako live wanatuchora tu,, huyu menengero alibadilishaga iD akajiita wangari Masai huyu mwingine alijiita muzine
Jf ya kipindi kile ilikuwa moto sana 😂
 
Wako live wanatuchora tu,, huyu menengero alibadilishaga iD akajiita wangari Masai huyu mwingine alijiita muzine
Jf ya kipindi kile ilikuwa moto sana 😂
We acha tu, walikuja kupoa kama moto wa kifuu.
Shobo zote kwisha😂😂😂
Wanaume wa humu baada ya kuona live picha zao, zikaanza kuja screenshot kwa ajili ya ushahidi kamili 🙌🙌🙌
 
Ohoo nipe mambo madam boss,,

Vipi jukwaa gani humu liko vizuri zaidi..
 
K
Kamuulize maxence merlo
 
Huyo jamaa alikua mshamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…