Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?


Verified user Paskali nilimuona sabasaba maonyesho kwenye PPR.
 
Joannah 🀣🀣🀣 nipe huu umbea 😜
Labda nikupe ya yule aliyetoka mwanza akatelekezwa gesti akapewa buku7 wakaja kutukanana humu hatari au yule aliyepelekwa hotel na mwanajf asijue ni member baada akarusha picha humu anajishaua ye ni boss lady anapumzika hotel zenye hadhi kwa pesa zake ghafla jamaa kamsanua karusha picha na yeye za same room akiaminisha umma yeye ndio sponsor kilikuwa kitimutimu dada akabadili I'd chap kwa
 
kwahiyo Joannah wewe ndo maimartha wa jf au lokole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…