Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh na mimi! 😉Tunakupenda pia kwa niaba ya hao madogo uliowataja hapo...thanx mkuu
Hahaha nimecheka sana!We acha tu, walikuja kupoa kama moto wa kifuu.
Shobo zote kwisha😂😂😂
Wanaume wa humu baada ya kuona live picha zao, zikaanza kuja screenshot kwa ajili ya ushahidi kamili 🙌🙌🙌
Nyie wanaume wa humu hamfai hata kwa kurumangiaHahaha nimecheka sana!
Nyie watoto wa 2000 mlikosa vingi🫠🫠ðŸ«Hahaha we mbea wewe 😅😅
Saivi tumepoa sana ondoa shaka 😊Nyie wanaume wa humu hamfai hata kwa kurumangia
Mi ni mbaba sina utoto wowote ni kwamba tu nilichelewa kujiunga humu!Nyie watoto wa 2000 mlikosa vingi🫠🫠ðŸ«
Tunakupenda pia...hahahahaMmh na mimi! 😉
Habari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣 huyo fake, kuna picha zangu humu, kaziangalie halafu urudi tena kusema kimbaumbau. Ila wewe 😅😅😅😅Leo nimekutana na Bantu Lady. Kumbe ni kimbaumbau tu kama Numbisa
Okayyyyyy!!!!Mi ni mbaba sina utoto wowote ni kwamba tu nilichelewa kujiunga humu!
ThubutuSaivi tumepoa sana ondoa shaka 😊
Labda nikupe ya yule aliyetoka mwanza akatelekezwa gesti akapewa buku7 wakaja kutukanana humu hatari au yule aliyepelekwa hotel na mwanajf asijue ni member baada akarusha picha humu anajishaua ye ni boss lady anapumzika hotel zenye hadhi kwa pesa zake ghafla jamaa kamsanua karusha picha na yeye za same room akiaminisha umma yeye ndio sponsor kilikuwa kitimutimu dada akabadili I'd chap kwaJoannah 🤣🤣🤣 nipe huu umbea 😜
Wee. ThibitishaMbona muongo muongo kiasi hiki?
kwahiyo Joannah wewe ndo maimartha wa jf au lokoleLabda nikupe ya yule aliyetoka mwanza akatelekezwa gesti akapewa buku7 wakaja kutukanana humu hatari au yule aliyepelekwa hotel na mwanajf asijue ni member baada akarusha picha humu anajishaua ye ni boss lady anapumzika hotel zenye hadhi kwa pesa zake ghafla jamaa kamsanua karusha picha na yeye za same room akiaminisha umma yeye ndio sponsor kilikuwa kitimutimu dada akabadili I'd chap kwa
🤣🤣🤣🤣🫣ilitokea tu bahati nzurikwahiyo Joannah wewe ndo maimartha wa jf au lokole