Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
We unaona ni sawa kabisa...?🤔
 
Hao nilishuhudia walikuwa watoto sasa sipati picha jivi la mtu mzima inakuwaje,, waliniambia kuwa wakwenda km mie walikuwa wanapigwa bomba wanakunya,, fresh maisha yanaenda hawaoni km ni ajabu kabisa
Kigoma wanaelekea kubaya, mabomba ya sindano yakiisha je 🤣🤣😡😡😡 dunia inabalaa
 
Huo utamaduni ni Kweli kabisaaa 100%.[emoji3581] Kuna baadhi ya Maelezo Hapo kwa mkuu NYAMAUME ntayawaweka vzr. Kwanza Hatutumii SINDANO ya ng'ombe tunaumia kitu kinachoitwa MWINO [emoji3039] au kikopo flani hivi (BOMBA) kinaunganishwa na pipe nyembamba.
JINSI YA KUTUMIA: ukishandaa Dawa yako vizuri inakua ya vuguvugu unajiinika/kujiingiza ile Dawa kama lita 1 hivi au nusu lita. (Usihofu kabisa wala kuogopa kuona kama unajit...mba hapana) kwani ki pipe kinachozama mavini ni chembamba saana. Kisha baada ya hapo utaharisha saana utatoa takataka zote hata za miezi 6 zilizokua sugu Tumboni mafuta mafuta yaliyokua yamekaa tu yote tupa huko.
FAIDA YAKE:
(1) Ina safisha mwili kuondoa sumu mwilini.
(2) kuupa mwili Nguvu (hapa ndo wanasema eti "Nguvu za kiume", no ni Nguvu za kawaida tu Yaani mwili unakua ngangari kinoma / very strong ....katika point Hii hapa ndo utaona tofauti Kati ya mwanaume wa Dar na wa Kigoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787])
(3) intibu maleria
(4)inatibu mshipa ( ngiri aina zote)
(5)inatibu typhoid
(6) kuondoa kitambi / manyama zembe
Na magomjwa mengine kibaaao.
Utaratibu huu hutumika mara moja kea miezi 6 au kea mwaka mmoja. Kule kwetu wa manyema tunaita KUFANYA SERVICE YA MWILI.
Karibuni sana KigomaView attachment 2544299
Yaani bomba lote hilo 😁😁😁,mkuu Nani anakuwekea hilo bomba?
 
Hilo Bomba anapigwa akiw amekaa MKAO gani.. Hicho tu ndio cha kujiuliza.
Bomba ni mcjanganyiko wa mitishamba na maji vuguvugu.iliupigwe unabidi ubongoe na waha wengi hufanyiwa na wanandoa au wapenzi wao wa karibu.
 
Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume.

Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa na kufikia kipimo cha uvuguvugu hutafuta bomba kubwa la sindano ya ng'ombe, kisha hufyonza mchanganyiko huo na kujiingizia kwenye njia ya haja kubwa.

Baada ya muda fulani, hupatwa na tumbo la kuhara ambapo uharisha mafuta kwa siku nzima hadi ikate yenyewe.

Baada ya hapo wanaamini ufanisi kitandani huongezeka sana.
Hiyo ipo ht ktk makabila mengine. Kweli unaharisha mauchafu yote ila mziki wake ni mzito. Dawa inaingiziwa kupitia haja kubwa, njia inafungwa kwa km saa nzima. Wakati huo mziki ni mnene mpk jasho linatoka kwenye makucha.
 
Huo utamaduni ni Kweli kabisaaa 100%.[emoji3581] Kuna baadhi ya Maelezo Hapo kwa mkuu NYAMAUME ntayawaweka vzr. Kwanza Hatutumii SINDANO ya ng'ombe tunaumia kitu kinachoitwa MWINO [emoji3039] au kikopo flani hivi (BOMBA) kinaunganishwa na pipe nyembamba.
JINSI YA KUTUMIA: ukishandaa Dawa yako vizuri inakua ya vuguvugu unajiinika/kujiingiza ile Dawa kama lita 1 hivi au nusu lita. (Usihofu kabisa wala kuogopa kuona kama unajit...mba hapana) kwani ki pipe kinachozama mavini ni chembamba saana. Kisha baada ya hapo utaharisha saana utatoa takataka zote hata za miezi 6 zilizokua sugu Tumboni mafuta mafuta yaliyokua yamekaa tu yote tupa huko.
FAIDA YAKE:
(1) Ina safisha mwili kuondoa sumu mwilini.
(2) kuupa mwili Nguvu (hapa ndo wanasema eti "Nguvu za kiume", no ni Nguvu za kawaida tu Yaani mwili unakua ngangari kinoma / very strong ....katika point Hii hapa ndo utaona tofauti Kati ya mwanaume wa Dar na wa Kigoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787])
(3) intibu maleria
(4)inatibu mshipa ( ngiri aina zote)
(5)inatibu typhoid
(6) kuondoa kitambi / manyama zembe
Na magomjwa mengine kibaaao.
Utaratibu huu hutumika mara moja kea miezi 6 au kea mwaka mmoja. Kule kwetu wa manyema tunaita KUFANYA SERVICE YA MWILI.
Karibuni sana KigomaView attachment 2544299
Ni dawa gani izo za uvuguvugu?
 
Back
Top Bottom