Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
We unaona ni sawa kabisa...?🤔
 
Hao nilishuhudia walikuwa watoto sasa sipati picha jivi la mtu mzima inakuwaje,, waliniambia kuwa wakwenda km mie walikuwa wanapigwa bomba wanakunya,, fresh maisha yanaenda hawaoni km ni ajabu kabisa
Kigoma wanaelekea kubaya, mabomba ya sindano yakiisha je 🤣🤣😡😡😡 dunia inabalaa
 
Yaani bomba lote hilo 😁😁😁,mkuu Nani anakuwekea hilo bomba?
 
Hilo Bomba anapigwa akiw amekaa MKAO gani.. Hicho tu ndio cha kujiuliza.
Bomba ni mcjanganyiko wa mitishamba na maji vuguvugu.iliupigwe unabidi ubongoe na waha wengi hufanyiwa na wanandoa au wapenzi wao wa karibu.
 
Hiyo ipo ht ktk makabila mengine. Kweli unaharisha mauchafu yote ila mziki wake ni mzito. Dawa inaingiziwa kupitia haja kubwa, njia inafungwa kwa km saa nzima. Wakati huo mziki ni mnene mpk jasho linatoka kwenye makucha.
 
Ni dawa gani izo za uvuguvugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…