Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Kabal la kufikiria hilo, jiulize kama u ajulikana au la[emoji3][emoji3]kwamba sisi washabiki hatupewi hata tecno
Taarifa zinasema Jamaa kalipia yeye.Hii dunia kuna watu wanaepesa asee.ila kwa umaarufu wa messi iphone hawajazitoa bure kweli kwasababu ya matangazo
Mimi hapa nakazia iphone ni simu za kike, kwani hujawahi kuona magari ya kike yaliyopo TZ, sembuse simu?Kuna watu watakuja kusema iPhone za kike.
Anyways jamaa kafanya vizuri sana anazidi kuacha alama na kumbukumbu nzuri kwenye maisha ya watu. Binafsi huwa nawapongeza kwa kuwapigia simu na kuwaambia maneno ya kujenga ila nafanya ivyo kama ni mtu wangu wa karibu . Mara kadhaa natoa pesa nayomudu.
nime m follow ista kwamba atakuwa hajaona kiongoziKabal la kufikiria hilo, jiulize kama u ajulikana au la[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]Huku bongo, Mkude atamchukua chama na kumpeleka Bar yenye mademu wakali
Kwa maana gani ukitumia inabadili jinsia yako?Mimi hapa nakazia iphone ni simu za kike, kwani hujawahi kuona magari ya kike yaliyopo TZ, sembuse simu?
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Huyo Hana hela ya kumiliki , iPhone ndo icon ya smu hapa duniani , nunua mi sumsung yako uwazawadie watu uone kama watashangaa😁😁Kwa maana gani ukitumia inabadili jinsia yako?
Wengi wanasema ivyo kwa sababu hawana uwezo wa kumiliki.