Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie


asakuta same na pachao Shark hzo mbwembwe tu,kutongoza kwenyewe mlipata F.
Shogangu Evelyn Salt kuya pande hii.
 
Last edited by a moderator:
dah!

fursa mujarabu hii.

acha nami najaribu bahati yangu
 
Madame b,nilifikiri we ni changu fulani,nisamehe dada,napata picha sasa we ni mdada wa vp, nina miaka 39, ninawatoto wawili wa kike,mmoja yuko 4m 3,wa 2 yuko 4m 1. Mama tofauti,, nafanya kz samaki samaki,ni mfupi black,,, mkristo like born again
 
Da AshaDii mwambie huyo Yegomasika aache kupigiwa chapuo,aje mwenyewe,
Au ndo mambo ya domo zege!
Hebu ngoja nikohoe kidogo, koho, koho...Madame B, Yegomasika ameku-mind. Ni mvuvi mashuhuri huku kanda ya ziwa, urefu wake kwa kweli ni andunje, lakini Inshaallah vigezo vyote ulivyovitaja anavyo. Kama mambo vipi details zake zingine uzipate upande wa pili(PM)!.
 
Napita tuu...ila if u want table for two you know wat to do..mi sitaki ku pm
 
Madame b,nilifikiri we ni changu fulani,nisamehe dada,napata picha sasa we ni mdada wa vp, nina miaka 39, ninawatoto wawili wa kike,mmoja yuko 4m 3,wa 2 yuko 4m 1. Mama tofauti,, nafanya kz samaki samaki,ni mfupi black,,, mkristo like born again

We Ngumbaru nini!
Nani Changu?
Jiheshimu bro.
Changu Mkeo.
 

niko tayari
 
je utakubali kuwa mke wa tatu? mimi vigezo vyote ni navyo....
 
nina mtoto 6yrs nina 34yrs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…