Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Haaaaa! Zile dompo za Mtambuzi hazijakutoka mpaka leo? Shauri yako boss utawakimbiza wote! Nani atataka kuwa mke wa mke? Lol!

Loh!
Govinda Khumar bado iko kichwani.
 
Last edited by a moderator:
Hapo namba 4 ni chuo gani certificate, diploma, degree ya kwanza, ya pili au ya tatu? Mimi ni umri wa miaka 58 na mapenzi hayana ubaguzi wa rangi,kabila, elimu wala umri. Kwa nini unabagua? Pia ni mke, lakini nina mapenzi mengi naweza kuyagawa kwa watu hata watatu nisipungukiwe chochote. Unaonaje sifa hizi?
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.

Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.

Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.
 
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.

Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.

Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.

vipi mambo. mtoto jinsia gani.na wewe umesomea nini.
 
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.

Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.

Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.

sifa zote ninazo,pitia topic yangu kwenye jukwaa hili,tafuta polisi ben.
 
sasa nana PM RASMI SASA JIANDAENI KUSIKIA NDOA MUDA SI MREFU MAANA NA MIMI NIMECHOSHWA NA UKAPERA
 
Nilivyosoma hii thread nimejiwa na hisia kuwa huyu dada yupo serious. Geuza tangazo la kazi liwe la kutafuta mtu wa kujitolea katika hao watakojitokeza kwajili ya kujitolea mmoja wao utamwajiri. Ulivyotangaza kazi mmoja kwa mmoja sidhani kama itakuwa rahisi kumpata mfanyakazi anayefaa. Unlike kazi nyingine hapa uzoefu wa kazi ni kikwazo kikubwa kabisa. Na kwa wewe jiandae kupokea watu wenye uzoefu kuliko unavyodhani. Kila la kheri. AshaD will give good advise on this
 

Daaah!!!! Madam B!!
kigezo namba moja tayari kimenipeleka ICU muhimbili,,,sijiwezi...disqualified mbaya!!
wanakuja sasa hivi....worry out!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom