Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

oyo yooooooo no 8 9 sasa am speechless kwa kweli
ila watu watauana mjini hapa wallah!
 
Madame B, pandisha umri kidogo angalao kwa mwongo mmoja, na sisi tuwe eligible, umeweka uwingo mdogo mmno!
 
Baba mtoto yuko wapi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
jamani Madame B yaani mimi nilikuwa navuta pumzi ya kujitokeza kwako kumbe tayari umeweka post JF ya kutafuta mume! sasa mbona wenye sifa tutakuwa wengi. niambie interview itakuwa lini ili nikaazime suti kali?
 
Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:

8. Angalau awe na elimu ya Chuo.


Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo. (committed christian)

Nisaidieni mie, mimi nadhani kuna tofauti ya kupenda na kutamani kuwa na mtu mwenye sifa unazozitaka.
Anaweza patikana mtu mwenye sifa hizo zote lakini usimpende, kama upendo unaouongelea hapa ni ule nnaoufaham mimi.

Wakati huohuo unaweza ukampenda mtu mwenye baadhi tu ya hizo sifa, cha muhimu ni kuamua hizo sifa zitakua na nafasi gani katika ndoa yako. Nakukumbusha kuwa tabia/sifa za watu zinabadilika, Samaritan wa 2011 au 2012 anaweza asiwe yuleyule 2013.

Mume/mtu wa kuishi nae ni zaidi ya hizo sifa. Ushauri wangu, usiweke msisitizo sana kwenye hizi sifa kwa sababu bado sio sifa za mume bora.

Kila la kheri na umpate mtu utakaempenda na yeye akupende kwa dhati.

Hizo red ndio zitafanya nisiku PM, vigezo vingine vyote niko sawa.
 
mmmhhhh! napita tu mtaa huu! ila ol the best my dear!
 
Nisaidieni mie, mimi nadhani kuna tofauti ya kupenda na kutamani kuwa na mtu mwenye sifa unazozitaka.
Anaweza patikana mtu mwenye sifa hizo zote lakini usimpende, kama upendo unaouongelea hapa ni ule nnaoufaham mimi.

Wakati huohuo unaweza ukampenda mtu mwenye baadhi tu ya hizo sifa, cha muhimu ni kuamua hizo sifa zitakua na nafasi gani katika ndoa yako. Nakukumbusha kuwa tabia/sifa za watu zinabadilika, Samaritan wa 2011 au 2012 anaweza asiwe yuleyule 2013.

Mume/mtu wa kuishi nae ni zaidi ya hizo sifa. Ushauri wangu, usiweke msisitizo sana kwenye hizi sifa kwa sababu bado sio sifa za mume bora.

Kila la kheri na umpate mtu utakaempenda na yeye akupende kwa dhati.

Hizo red ndio zitafanya nisiku PM, vigezo vingine vyote niko sawa.
aisee kama wewe sio mkristo ina maana ni muislam so unaposema huna elimu ya chuo nakushangaa...hata chuo/madrasa hujapita mkuu?
 
aisee kama wewe sio mkristo ina maana ni muislam so unaposema huna elimu ya chuo nakushangaa...hata chuo/madrasa hujapita mkuu?

Mimi ni mkristo ila elimu ya chuo sina. Na mwanamke mkristo nnayemtaka mimi, awe committed christian. Nadhani umenipata mkuu
 
Back
Top Bottom