Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

I wish you all the best boss! Ila majibu yako boss wangu mie hoi! Ha ha haaaa haaaaaaaa!
 
I wish you all the best boss! Ila majibu yako boss wangu mie hoi! Ha ha haaaa haaaaaaaa!

bosi yupo veery serious
D mpenzi kila la kheri mi ntakuwa maid of honor kikitiki!nakuombea mwaya~!
 
I wish you all the best boss! Ila majibu yako boss wangu mie hoi! Ha ha haaaa haaaaaaaa!

Usijali Katibu wangu mwaJ!
Yani hapa ni mpelampela.
 
Last edited by a moderator:
bosi yupo veery serious
D mpenzi kila la kheri mi ntakuwa maid of honor kikitiki!nakuombea mwaya~!

Usihofu mweka hazina wangu snowhite,
Boss wenu upweke umenichosha.
Sasa nasaka mke.
 
Last edited by a moderator:
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.

Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.

Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.
Vipi mama, vi-andunje kama sisi vina nafasi hapa?.
 
Mi huaga naogopa kukomenti kwene uzi ambao founder Maxence Melo au modereta yeyote anagonga thanks halaf hawachangii/

Ah..mama Madame B mamaa wa strongo za ukweli hii ni wewe au kuna mtu kaiba password?
 
Back
Top Bottom