Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Mwanzo nilijua ni kweli kumbe ni maigizo ya chitchat?! Hata hivyo umefanya assessment ya kujua hali ya uitaji wa ndoa/ mapenzi kwa wana jf!
 
Tahadhari;

Hapa JF ukimchukua demu wa chit-chat inabidi usiwe na wivu kabisa, maana kule nako kuna ndoa zao, tena watu wanaolewa mitala. Unajiona umeoa demu wa peke yako kumbe kule chit-chat ana mumewe mwingine.

Nimetoa hili angalizo maana Madame B ni member kule. Huu ni mtazamo wangu tu, members msijenge chuki!!
 
Last edited by a moderator:
Tahadhari;

Hapa JF ukimchukua demu wa chit-chat inabidi usiwe na wivu kabisa, maana kule nako kuna ndoa zao, tena watu wanaolewa mitala. Unajiona umeoa demu wa peke yako kumbe kule chit-chat ana mumewe mwingine.

Nimetoa hili angalizo maana Madame B ni member kule. Huu ni mtazamo wangu tu, members msijenge chuki!!

Hahaha.
Shark wapi asakuta same na Evelyn Salt.
 
Last edited by a moderator:
Acha kunizibia niunganishe nami niolewe si unaona Madame B kafanya maamuzi tayari!!!

We sidhani kama ndugu yangu asakuta same atakuweza, ndugu yangu yule ni mpole sana kwa kweli,
Hata ananiambiaga nimuunganishie kwako, lakin hapana aisee. We labda kwa mbaaaali mimi pengine
 
Last edited by a moderator:
Nimeachana nao soon. Wajua asakuta same anamtaka Evelyn Salt, ila sasa kuongea direct ndo anashindwa, so imebidi anitumie mimi nimuunganishie. Ila sidhani kama ataweza Pacha wangu yule.

ha ha ha ha ha ha! wajina mbona unanianika tena hadharani pacha wangu?
unauza siri za chama.

We sidhani kama ndugu yangu asakuta same atakuweza, ndugu yangu yule ni mpole sana kwa kweli,
Hata ananiambiaga nimuunganishie kwako, lakin hapana aisee. We labda kwa mbaaaali mimi pengine

huyu Evelyn Salt atatulia tu mwenyewe akikutana na mashine ya ukweeh!
hapa jamvini unakuta ni mbwembwe tu.



naaam Madame B ,vp umeshampata huyo msafi wako wa moyoni.

kimbelembele tu hapa love connect kutafuta mchumba ,wakati husband material nipo hapa na PM zangu hujibu.
 
Last edited by a moderator:
Madame B mdogo wangu... Nakutakia kila la kheri... Inshaallah ukifanikiwa kumpata mchumba anae faa kuwa mume na mkapanga kufunga ndoa, naahidi kushiriki kadri niwezavo na kuhudhuria katika hiyo ndoa. Kila la kheri...
 
Madame B mdogo wangu... Nakutakia kila la kheri... Inshaallah ukifanikiwa kumpata mchumba anae faa kuwa mume na mkapanga kufunga ndoa, naahidi kushiriki kadri niwezavo na kuhudhuria katika hiyo ndoa. Kila la kheri...
Hebu nipigie ndogo ndogo nichukue hicho kifaa, AshaDii!.
 
Hebu nipigie ndogo ndogo nichukue hicho kifaa, AshaDii!.

Yegomasika... Usiniangushe bana! Hebu gangamala hapo na uoneshe upendo wako. Mana kama unajilazimisha utachemka tu! Alafu kumbuka hapa kuna stiff competition...
 
Madame B mdogo wangu... Nakutakia kila la kheri... Inshaallah ukifanikiwa kumpata mchumba anae faa kuwa mume na mkapanga kufunga ndoa, naahidi kushiriki kadri niwezavo na kuhudhuria katika hiyo ndoa. Kila la kheri...

Inshaallah da AshaDii nina imani dua yako itakuwa na kheri. Na nitampata yule anifaae.
Na ni lazima uwepo kushuhudia Ndoa yangu siku hyo.
Amin, Amin.
 
Last edited by a moderator:
Yegomasika... Usiniangushe bana! Hebu gangamala hapo na uoneshe upendo wako. Mana kama unajilazimisha utachemka tu! Alafu kumbuka hapa kuna stiff competition...

Da AshaDii mwambie huyo Yegomasika aache kupigiwa chapuo,aje mwenyewe,
Au ndo mambo ya domo zege!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom