Mi huaga naogopa kukomenti kwene uzi ambao founder Maxence Melo au modereta yeyote anagonga thanks halaf hawachangii/
Ah..mama Madame B mamaa wa strongo za ukweli hii ni wewe au kuna mtu kaiba password?
Duuh sister na kuhusu kupima Hiv si muhimu dada?? Au unataka kuingia kwenye mtandao nini dada?? Je kwa wale wasinzi? Wanaopenda chupi?nao wanaweza kuapply dada??sifa ulizotaja bado hazijakamilika dada kama unataka mume mwema na siyo utapata kimeo dear
Wanaume wengi mnakuwa tegemezi tukilingana umri.
Nilishaolewa ndoa 3 na zote zikavunjika.