Musa kazikiwa wapi ?
Mayahudi wa leo hawana undugu wa damu wala wa dini na kina Daudi na Musa. Musa amekufa haukuwepo Uyahudi.
Sasa unaandika ili ujifurahishe au upoteze muda ?
Kingine lengo si kubadilisha lengo ni Historia kudhibitiwa.
Labda kama dunia nzima ni uarabuniDunia nzima inasimama na Wapelestina kupinga dhulma ya hawa fakes jews mimi ni nani nisisimae na palestine.
Jibu swali nililo kuuliza, acha utoto.Hehehe wewe Mzaramo unabishia undugu baina ya Wayahudi ilhali kwa maisha yako yote hujawahi kumuona hata mmoja kwenye ukata wako hapo Tandale.
Jibu swali nililo kuuliza, acha utoto.
Jibu unavyotaka wewe, maswali niliyo kuuliza ni maraisi sana, sababu nimekuuliza maswali kutokana na ujinga ulio uandika.Sio lazima ujibiwe utakavyo wewe, jielimishe kushirikisha ubongo na kujiongeza kila unapojibiwa, wewe una ushahidi gani kwamba Wayahudi wa kipindi cha akina Musa hawana undugu na Wayahudi wa leo.
Wanawake ,wazee na watoto wa kipalestina wanaouawa na walowezi wanaopora ardhi kila siku miaka sabini na tano yote hii wao ni nguruwe na hawapaswi kuishi au sio ? Ila hao ngedere wa Kizayuni ndio wanathamani zaidi sio ?Wale waliouawa kule Israel (Watoto, wazee, wanawake n.k) hawakuwa na haki ya kuishi!? Lini umewapigia kelele?
We mpuuzi una akili kuliko wapalestina wanaopitia hayo madhila kwa miaka zaidi ya sabini sasa si ndio ,watu wanauawa na kuporwa ardhi kila siku na wanaishi kama wakimbizi ndani ya nchi yao halafu wewe Kenge ,unaandika utopolo wako hapa .Watu wanawachukia wa Israel bila kujali nani alianza kurusha ngumi ili kuanzisha ugomvi, mumchukie na mchochezi Iran ambae kachochea kuni jikoni kakaa pembeni anaangalia zinavyoteketea.
Chuki dhidi ya Israel hazitawakomboa Gaza dhidi ya hasira za Myahudi, badala yake waache kuhubiri chuki na uchochezibdhidi ya Israel.
Sipendi na sivutiwi na sishabikii kinachoendelea hapo Gaza ila naumizwa na wale wote wanaochochea mgogoro huo kwa kuandika chuki zao mitandaoni wakidhani wanaisaidia Gaza kumbe wanaiteketeza.
Umeandika ukiwa umejaa chuki za kidini, na kutukana watu wasio endana na mtizamo wako kuwa ni wapumbuvu huku ukiwaita Waarabu ndugu zenu, sijuhi ni ndugu zenu wewe na nani, maana dhambi ya ubaguzi wa aina yako ndio unaoitafuna Mashariki ya kati. Kwa mitizamo wako huu nani unataka atoe maoni?
Unapokuwa unatetea hoja fulani punguza jazba unaweza ukaeleweka, lakini hivi ulivyowasilisha hoja yako ni watu wa aina yako tu ndiyo wanaweza wakakuelewa
Mpuuzi mmoja usiye na akili ,ungekuwa na akili hata asilimia tano tu ,usingeandika huu useng€ unaoandika hapaHivyo vitabu kaandika nani!? Yaani uniletee upuuzi alioandika Sheikh Kipozeo eti uuite maarifa!!!??? Unaleta vitabu vyenye mlengo unaoshabikia, ngoja tukuletee vitabu vya mlengo tofauti upate maarifa.
Jibu unavyotaka wewe, maswali niliyo kuuliza ni maraisi sana, sababu nimekuuliza maswali kutokana na ujinga ulio uandika.
Kwanza ili swali lako liwe sahihi unatakiwa uthibitishe ya kuwa kipindi cha Musa Mayahudi walikuwepo. Nyinyi mkiachiwa ndio huwa mnakariri uongo mpaka unakuja kuonekana au kudhaniwa ni ukweli.
Sasa ni jukumu lako wewe uliegemeza madai yako kwa Daudi na Musa uthibitishe unachokisema.
Kingine Uyahudi ni dini, ambao hata wewe unaweza kuwa Myahudi, Sasa onyesha undugu wao uko wapi.
Wewe ndiye mwenye akili ndogo, unajifanya hujui kiini cha mgogoro wa Mashariki ya kati. Huwezi kukwepa ukweli alafu unajifanya unajadili. Kinachogombewa ni ardhi na maeneo ambayo kwao wao wanayaita maeneo takatifu, sasa ukikwepa kuliongelea hili utakuwa unajadili nini? Wewe ndiye mpumbavu Ila ujijuhi.Una akili ndogo sana
Huu mjadala hauwezi kujadiliwa kwa akili ndogo kama zenu hizo ,za kukimbilia kwenye Bible kutafuta justification , Bible haiwezi kuwa ndio justification ya ukoloni wa wazayuni kwenye ardhi ya palestina ,ni ukosefu wa akili timamu .
Duniani hapa kila mtu ana imani yake ,kuna watu hawaamini hata dini yoyote (atheists) na majority ya hao Ashkenazi na cephards ni atheists , hawapo kwenye dini yoyote ,hata huo uyahudi wenyewe hawapo .
Sasa utakuwa ni mtu wa ovyo kuleta justification za genocide na ethnic cleansing ya makaburu wa Kizayuni katika ardhi ya palestina
Bible yenyewe hamuijui kuisoma na kutafsiri kilichoandikwa kwa ufasaha , wengi mmepata mafundisho potofu na ninyi mmeyameza hivyo hivyo na wala hamtafiti vitu wala kusoma
Kama ungekuwa unaijua Bible ungeijua na Quran, vitabu vyote vinathibitisha kuwa Israel inakaa kwenye ardhi ambayo Mwenyezi Mungu aliwapa mababu zao!Una akili ndogo sana
Huu mjadala hauwezi kujadiliwa kwa akili ndogo kama zenu hizo ,za kukimbilia kwenye Bible kutafuta justification , Bible haiwezi kuwa ndio justification ya ukoloni wa wazayuni kwenye ardhi ya palestina ,ni ukosefu wa akili timamu .
Duniani hapa kila mtu ana imani yake ,kuna watu hawaamini hata dini yoyote (atheists) na majority ya hao Ashkenazi na cephards ni atheists , hawapo kwenye dini yoyote ,hata huo uyahudi wenyewe hawapo .
Sasa utakuwa ni mtu wa ovyo kuleta justification za genocide na ethnic cleansing ya makaburu wa Kizayuni katika ardhi ya palestina
Bible yenyewe hamuijui kuisoma na kutafsiri kilichoandikwa kwa ufasaha , wengi mmepata mafundisho potofu na ninyi mmeyameza hivyo hivyo na wala hamtafiti vitu wala kusoma
Picha uletewe pia mfalme ama raisi utajiwe. Hivi KWA akili yako unavyoona hayo majengo, airport, madarasa, misikitini, yalijengwa bila kuwepo Kiongozi wa eneo hilo. Changamsha ubongo wako sio kila kitu utafutiwe
Kuna video Fulani iliwahi ona kule Twitterx ya mwarabu Fulani wa saudia.Ni nchi gani ya kiafrika ukiacha south afrika wanayoishi wazungu wengi? Kasome vizuri harakati za uzayuni wakati wanaanza kurudi kwenye ardhi yao mashariki ya kati iliyokuwa tayari inakaliwa na waarabu hao wapalestina. Unaandika kwa mhemuko wa dini yako ya kiislam
Nimekwambia jibu unavyotaka wewe, unaendelea kuruka ruka. Swali langu liko wazi sana.Ona unavyojifanya mpumbavu, unataka kulazimisha nikujibu utakavyo kwenye swali lako la kijinga, eti nikupe ushahidi wa undugu baina ya Wayahudi wa kipindi cha Musa na Wayahudi wa leo, hebu soma unachokiuliza mara kumi ujitikise kichwa.
Watu hawajui taifa hilo lilivyoanzishwa.Hapo umeongea point, ila sisi tukisema wale ni wavamizi hawapaswi kwendelea kubaki pale tunaonekana wapumbavu
Nimekwambia jibu unavyotaka wewe, unaendelea kuruka ruka. Swali langu liko wazi sana.
Nilichokiuliza kipo wazi sana, wewe umeandika na kuonyesha Kuna uhusiano kati ya Mayahudi wa Sasa na wa kipindi kile. Au nimesema mimi maneno haya ?
Sasa ndio onyesha ukweli wa unachokiandika.
Unajua mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza.
MPumbavu sana weweWewe ndiye mwenye akili ndogo, unajifanya hujui kiini cha mgogoro wa Mashariki ya kati. Huwezi kukwepa ukweli alafu unajifanya unajadili. Kinachogombewa ni ardhi na maeneo ambayo kwao wao wanayaita maeneo takatifu, sasa ukikwepa kuliongelea hili utakuwa unajadili nini? Wewe ndiye mpumbavu Ila ujijuhi.