ulisoma kayumba tatizo
ukishasema best means there's no comparison tena
refer good better best
Kama unajua tafadhali nielimishe, nimeijiwa tu na hili wazo from nowhere nikiwaza ingekuwaje siku ingekuwa na saa 48 kwa mfano; ningeweza kuwa na muda zaidi?
Si nadra siku kuisha ukiwa na viporo vya majukumu...
Anyways back to the topic, ni nani aliamua siku iwe na saa 24 tu?
siku ikiwa na masaa 48 au 12 miezi na miaka haiwezi kuchange. siku ni muunganisho wa usiku na mchana hivyo siku ikiwa na saa 48 maana yake nusu saa ya sasa ndiyo ingekuwa saa. na siku ikiwa na saa 12 maana yake masaa mawili ya sasa yangakuwa ni saa moja. speed za saa ndiyo zingebadilika.
Masaa katika siku yanategemea sayari husika inatumia mda gan kulizunguka jua,. Kwa upande wa earth planet inatumia 24hrs .
Ndo maana kuna masaa 24
labda niongezee swali... kwanini iwe masaa 24? kwanini waliamua kuwa ni masaa ishirini na nne? walizingatia nini katika maamuzi hayo? mfano ingekuwa saa moja ni sawa na masaa mawili yaani sawa na dakika mia moja ishirini halafu siku moja ni sawa na masaa kumi na mbili, kingeharibika nini?
Kama unajua tafadhali nielimishe, nimeijiwa tu na hili wazo from nowhere nikiwaza ingekuwaje siku ingekuwa na saa 48 kwa mfano; ningeweza kuwa na muda zaidi?
Si nadra siku kuisha ukiwa na viporo vya majukumu...
Anyways back to the topic, ni nani aliamua siku iwe na saa 24 tu?
Nimesoma maoni yako Mshana jr, acha niyatafakali.
Khe...! Leo kuchele! Haya nimeshika!!!Shika adabu yako wewe, kama u mwanamme kweli njoo. Wacha kuongea mambo kama dume jike humu.
acha ukali wewe bibi, hata simba mla watu akitekenywa huachia dume limzame sembuse wewe trash ya lumumba?