G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Kwetu wakristo ukisoma BIBLIA inazitamka siku katika nyakati za asubuhi na jioni kwisha....kwa mfano wakati MUNGU aliposema ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya kwanza na kuendelea vivyo hivyo.So kutoka alfajili ya saa12 mpaka jioni ya saa12 ni siku moja.haya masaa I think ni mbwe mbwe za kibinadamu hasa wazungu