Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu anayekufanyia kila kitu hadi kulea wanao anageukaje kuwa liability?
Wanaokataa ndoa ndio wapiga nyeto pia mwisho wa siku vinyeo vyao vitawasha na watatafuta watu wa kuwakuna.
Endeleeni tu kukataa ndoa siku mbaya zaja.
Watu wa upinde wanafurukuta lakini wapiiii!!!.
Shida watu hawaelewi saizi wengi wao waliooa ni upinde wajificha kwa ndoaHamnaga hoja zaidi ya dhihaka.
Hatujaoa na tunawatomber balaa.
Sasa sijui huo upinde unatoka wapi.
#YNWA
Sio kweli upinde anatokea kwenye kundi lolote kati ya hayaWatu wa upinde wanafurukuta lakini wapiiii!!!.
HaaaaKataa ndoa kwa maana ndoa ni ufala, nimeichakata ucku mzima na amefurahia na ashaondoka na jioni naleta mpya
Tulia wewe wa upinde povu LA nini na mwili wako?.Hamnaga hoja zaidi ya dhihaka.
Hatujaoa na tunawatomber balaa.
Sasa sijui huo upinde unatoka wapi.
#YNWA
Usinipangie cha kuandika.Sio kweli upinde anatokea kwenye kundi lolote kati ya haya
Kwani tumeona shuhuda nap wanandoa wakifumwa na huu upuuzi
Sikupangii lakini nakwamba ukweli ndio huoUsinipangie cha kuandika.
Napenda kufahamu kuwa wewe ulizaliwa Ndani ya Ndoa au Nje ya Ndoa au Ulizaliwa kupitia surrogate mother?Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forums baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR Kaandika uzi huu
"Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa"
Huyo marioo unaemuhudumia kakuoa wewe?Mkuu nani kakuambia ukiwa hauna ndoa hauna majukumu , kuna Mario mmoja yupo kwenye ndoa mbona ninamlisha yeye na mke wake na watoto wangu wawili na huyo mmoja wakwake, mimi nakataa ndoa kwa mfano hai.
Ila mkuu mshana kaongelea hii mada kiushabki zaidi na kihisia zaid, ila atatulia tu atakuja na maono yenye kuleta tija pande zote .Mshana Jr ni Kaka yangu Mkuu.
Nina mengi ya kujifunza kutokea kwake.
Kiumri, Mshana ni kizazi cha Nyuma yetu kidogo hivyo yeye kuwa na mawazo ya nguvu za Giza ni Jambo la kawaida kwani wengi WA umri wake kurudi Nyuma wapo hivyo.
Hayo mambo kutawala kichwani mwako hauoni ata aibu?Watu wa upinde wanafurukuta lakini wapiiii!!!.
Apana kamuoa mke wake ambae mimi namchakataHuyo marioo unaemuhudumia kakuoa wewe?