Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Ulikuaga kombania ipi? [emoji3]
 
Mabio jamaniii mamaee kuna ilee route za jioni mmetoka kula zilikuwa zinakera sana...!! Toka kambini pitia Rest house mpaka kwa Msange na kurudi...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bila kusahau Yombo, mbola kwa mshuhuma n.k
 
Bila kusahau ulikuwa unapewa ''warrant'' ili utumie kusafiri kwenda, na pia wakati wa kurudi.
 
Kuna ile kazi ya kufata mbolea kwa msukuma duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]ilikua inaniboa sana japo tulikua tukirud tunapitia malimao porini kwa ajili ya mchuzi wa nyama na kupaka kwenye kipara ukinyoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mabio ya asubui mabio ya asubui mabio ya asubui......unalala saa 7 huko hoi hafu saa kumi li afande linakuja na maji linamwaga tu ovyo ovyo
 
Mwendo wa kukwepa ndege ile ni balaa yuko afande nusu Mungu semi God huyo ni hatari aise. Usiende JKT na fomyula yako ya kuishi utashinndwa maisha utakayoyakuta kule ndio yatakutengenezea namna gani ushi
 
Pamoja man.

mnabahati mlikua hampangiwi maafande wanaa kama wenzenu wa Charlie, Danger na Eagle

Dakika sifuri tu watu washapigwa nua, wamesimika, mara wana-roll [emoji3]
Mwaka gani hiyo mkuu mie 2017
 
Mwaka gani hiyo mkuu mie 2017

Jasho mzinguaji [emoji3], commando kipingu wa Charlie coy unamkumbuka? Madoso miyeyusho? Koplo Rambo wa Danger? Mkorofi daily analala mahabusu, matron kikosi je?
[emoji3]

Capt Moshi miyeyusho sana
 
Bila kusahau Yombo, mbola kwa mshuhuma n.k
Mkuu kweli ulikuwa msange Hata Mimi nilikuwa huko pande hizo nazijua vizuri Kwa msukuma...Kuna Ile inshu ya kwenda kuzima moto Mimi nilikuwa eagle Kwa sameja Michael Kasembe na ofisa cardate Bakari
 
inashort ulikuwa unajila sio
 
Mkuu hili shamba dunia liko maeneo gani?? mimi nilikuwa nimesahau IDETERO, kuna mkuu hapo juu amenikumbusha.
Halafu kuna CHANGARAWE (Kuna lijengo kubwaaa sijui ni hoteli, tulisota sana kipindi linajengwa
Hilo lihoteli umesotea linaitwa RECREATION tunaendaga kupiga vyombo na kuruka majoka kila weekend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…