Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

mlima nguruwe, shamba maalum, wapi tena?? Nimeshapasahau jamani!!!!! Yale mashamba ya kule mbaaaali panaitwaje mkuu??
Njoo idetero tunakaribia kuanza palizi ya kwanza
Tutaanzia idetero kubwa,then idetero ndogo afu tutamalizia na shamba la kikosi
 
Aisee mimi nlikua nakereka na jambo moja tuuu yaan

SIKU YA JUMAATANO NI UGALI NYAMA MCHANA SASA ULE MDA WA CHAKULA ULE MNAAMBIWA KURUTI UELEKEO KUZIMA MOTOO

Wale jamaaa sijui walikua wanawasha moto makusudi duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]yan ikifika jtano mzee kinanuka unakuta pori linateketea mzee

824Kj hioo[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Aisee mimi nlikua nakereka na jambo moja tuuu yaan

SIKU YA JUMAATANO NI UGALI NYAMA MCHANA SASA ULE MDA WA CHAKULA ULE MNAAMBIWA KURUTI UELEKEO KUZIMA MOTOO

Wale jamaaa sijui walikua wanawasha moto makusudi duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]yan ikifika jtano mzee kinanuka unakuta pori linateketea mzee

824Kj hioo[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kanembwa
 
Habari za asubuhi,

Ni siku nyingine tena Mungu anatupa kibali Cha kuiona siku ya Leo

Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza hapo ju je ni kitu Gani kilikuwa kinakukela kipindi upe jeshini (mujibu wa sheria au uzalendo)

Kiujumla mimi nilikuwa nakeleka sana na mabio yani unakimbia kuelekea kuifuata chai [emoji1787][emoji1787] ila kwa muda mwingine nilipendelea changer sana nikiwa jeshini

Wewe je?
Kupewa nafasi ya kupumzika au kulala.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Huyu anaongelea hii ya watoto.
JKT ilikua miaka ya 88 kurudi chini.
Enzi za afande Sanga, afande Mlay afande Mtono. Meja Jenerali Mkisi na tabia zake za ajabu.
Kwenye mbuzi alikua anakula Figo tuh. Sasa niambie Figo za mbuzi ngapi anaweza kushiba Jenerali?
JKT ya zile kambi nane.
Oljoro
Mgambo
Makutpora
Msange
Bulombora
Mafinga
Ruvu
Mlale.
Enzi zile kila kitu unakikuta kule kuanzia
Bukta
Green vest
Kombati
Buti
Mess tin Tena mbili
Blankerti
Yaani wewe unakwenda na mwili tu.
Shikamoo babu
 
Kuamka saa 9 [emoji3064]

hapo kombania umetoka may b saa 6 coz mmechelewa kuhesabiwa[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

but jeshi ni kuzuri sana kama huna kiburi nimepamiss sana[emoji13][emoji13]

nimemiss mihogo[emoji2][emoji2] yaan tulikua yunalazimisha kwenda tu route flan kisa tu kule wanauzaga mihogo na kachumbari tamu sana so hapo baada ya majukumu unajibless kama hivo

na vitumbua hasa vya matron afande and usiombe maafande wawe wanakupenda i mean upendo tu kama kuruti utaenjoi Saaana[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
 
Kupakawa majivu usoni na kubeba gogo la Kuni kama RPG begani alaf nazungushwa nalo mchana kutwa zinakua zinapigwa filimbi kila baada ya hatua 5 napiga goti

Hiyo inanihusu Mimi doja sugu nyie wengine mtulie kidogo
 
Back
Top Bottom